Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
- Thread starter
-
- #41
Kila la kheri mkuu
Don kama Don wewe watu wanaokubeza wengi wao wako stressed kuliko kawaida
Ndio......madalali wanakaza sana,hupati chumba,utaweza kushindia mihogo ya jero?
Hii sura niliiona juzi kati Makere.
Umekuja na wale mademu wako wanaotikisa madako? Au umekuja na album yako pekee?
Vipi ule uvimbe kichwani umepungua?
punguza fegi mkuu hivi sijaelewa hizo document na hizo fedha Uliziweka kwny wallet?
Chuma hiko,nakukubali sana don,nina Dada vipi nikuunganishie ili uwe na undugu na Mimi?BASI LA SATCO NI WAAMINIFU SANA.
Jana kipindi natoka Mwanza kuja Dom kuelekea Dar, tulipofika Singinda stand nilishuka Mara moja lakini niliangusha VITAMBULISHO vyangu na Vijisenti. Baada ya dakika 5 hivi nikaona simu inaingia kupokea naambiwa nimeangusha VITAMBULISHO na Pesa, kusogea kwenye gari wakanikabidhi Nyaraka zangu na Pesa Kama zilivyo. Kazi nzuri aliyoifanya Dreva mwenyewe ambaye ndiye aliyeniokoa.....Ubarikiwe Sana Dreva wa Basi la SHTCO, ni Mabasi mangapi wanauaminifu Kama huu@DODOMA-DON NALIMISON.
https://www.facebook.com/View attachment 1537723
Vipi ualimu au tayari umefukuzwa officially
Don kama don
lipia tangazo
Chuma hiko,nakukubali sana don,nina Dada vipi nikuunganishie ili uwe na undugu na Mimi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza kukaa na mtu kwenye siti za mabasi akaonekana wa maana sana kumbe ni bonge la fala
Unaweza kukaa na mtu kwenye siti za mabasi akaonekana wa maana sana kumbe ni bonge la fala
Natamani siku nikutane na wewe mkuu. Maana niko hapahapa mkolaniKaribu.