Basi la TFF kukamatwa, kupigwa mnada kulipa deni

Basi la TFF kukamatwa, kupigwa mnada kulipa deni

Tuombe Mungu Tukose yote ila kujitambua tukupate.
kujitambua ni nini? unajuaje kama umejitambua?
je kujitambua pia inahusisha uwezo wa kimalaika au wa kishetani wa kuona ndani ya roho na Moyo wa mtu mwingine?
 

Jengo la Yanga kupigwa mnada Agosti 19​

ContributorAugust 17, 2017 - 2:02 pm
Less than a minute
Facebook Twitter Share via Email
Yanga1-1.jpg

Mahakama yaamuru Jengo la klabu ya Yanga lililopo maeneo ya Jangwani kuuzwa kwa mnada Agosti 19 baada ya kudaiwa kodi ya ardhi ya zaidi ya shilingi milioni 300.
Yanga1-1.jpg

Hata hivyo uongozi wa klabu ya Yanga umeeleza kushtushwa na hatua ya serikali kutaka kulipiga mnada jengo hilo ambalo ni makao ya klabu na kuahidi kufanya kila linalowezekana kunusuru hali hiyo


====================
Hata Yanga bado wana mmadeni yakutosha msijisahaulishe
 
Heri makolo FC wanaofikiri kuliko vinyesi FC wasiofikiri
shida kubwa ya Mikia FC ni kukurupuka kucomment bila kujua maana ya kilichoandikwa , nilimwambia mmeanza kufikiri maana ametambua kuwa simba haina kombe lolote ifanye harakati badala ya kukazana kusimamisha mishipa ya shingo kutangaza kauli ya Manara kuwa wenye akili wawili tu Baba yake na JK,

1. Someone to say something about other people does not justify it to be true!
2. Truth does not necessarily aligns to what you feel or like!! habari za Yanga hazipendezi Makolo FC tunajua hamna hoja!
 
... habari za Yanga hazipendezi Makolo FC tunajua hamna hoja!
... kama ile habari ya Karia kuwaita utopolo mna vinyesi kwenye chupi, haiwapendezi Makolo kabisa!
 

Jengo la Yanga kupigwa mnada Agosti 19​

ContributorAugust 17, 2017 - 2:02 pm
Less than a minute
Facebook Twitter Share via Email
Yanga1-1.jpg

Mahakama yaamuru Jengo la klabu ya Yanga lililopo maeneo ya Jangwani kuuzwa kwa mnada Agosti 19 baada ya kudaiwa kodi ya ardhi ya zaidi ya shilingi milioni 300.
Yanga1-1.jpg

Hata hivyo uongozi wa klabu ya Yanga umeeleza kushtushwa na hatua ya serikali kutaka kulipiga mnada jengo hilo ambalo ni makao ya klabu na kuahidi kufanya kila linalowezekana kunusuru hali hiyo


====================
Hata Yanga bado wana mmadeni yakutosha msijisahaulishe
mnajitahidi kubalance ila Karai hafai, one question TFF walikuwa wapi mpaka deni limefika kubwa hivyo? hivi CAG huwa haendi TFF? je hawaingizi pesa? kama zinaingia kwanini hawakulipa kwa wakati?
 
...hivi CAG huwa haendi TFF? je hawaingizi pesa? kama zinaingia kwanini hawakulipa kwa wakati?
Hayo maswali mpelekee mbunge wako akaulize bungeni. Bahati nzuri Waziri wa Michezo alikuwa upande wa Karia juzi juzi hapa wakati wa ugawaji wa tuzo, kwamba lazima watu wawaheshimu viongozi
 
mnajitahidi kubalance ila Karai hafai, one question TFF walikuwa wapi mpaka deni limefika kubwa hivyo? hivi CAG huwa haendi TFF? je hawaingizi pesa? kama zinaingia kwanini hawakulipa kwa wakati?
Linganisha na la Yanga 54M vs 300+M Yanga ilikuwa wapi?
 
Kwa hiyo kama Manara asingeguswa, deni lingesamehewa? Wakati mwingine huwa natamani kuwepo masharti ya viwango vya elimu kwa anayetaka kujiunga JF
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Very soon Karia atapandishwa kizimbani kwa matumizi mabaya ya ofisi na ubadhilifu.

Hii ofisi ina shida gani??
 
ni elimu uliyoikosa
niliikosa lini? mbona wakati wanaipitisha hukunishtua? leo ndo nimejua we jamaa mbinafsi sana!! wamegawa elimu ya msingi nyie mkapata na hamkutushtua!
 
Very soon Karia atapandishwa kizimbani kwa matumizi mabaya ya ofisi na ubadhilifu.

Hii ofisi ina shida gani??
Yanga tamu!
Hivi Mr Karai ni mgeni bongo? hajui fitna za mpira wetu?
Wamburuze kortini chap ili asijishughulishe na boli tubadili kocha wa Taifa Stars
 
Mawazo hafifu ya mwana UTO
nakuona uko gizani nyuma ya keyboard kuna kipimo unacho unatumia kujua mawazo hafifu na angavu je unaweza kunirushia kwa whatsapp?
Mawazo angavu hapo umehifadhi Mangapi?
Hafifu ni nini?
 
Yanga tamu!
Hivi Mr Karai ni mgeni bongo? hajui fitna za mpira wetu?
Wamburuze kortini chap ili asijishughulishe na boli tubadili kocha wa Taifa Stars
Hapa hakuna fitna bali matumizi mabaya ya ofisi.
 
Back
Top Bottom