Basi la TFF kukamatwa, kupigwa mnada kulipa deni

nakuona uko gizani nyuma ya keyboard kuna kipimo unacho unatumia kujua mawazo hafifu na angavu je unaweza kunirushia kwa whatsapp?
Mawazo angavu hapo umehifadhi Mangapi?
Hafifu ni nini?
Cjui n ma nini haya umeandika mkuu
 
HII NI AIBU KUBWA KWA TFF
 
Tafsiri na hii "mashabiki wa Yanga kwenye nguo zao za ndani zimejaa kinyesi" tiririka na hii mwana-uto.... hahahaa mmekumbatia mzinga wa nyuki badala ya kushambulia na kuwaza mawazo mbadala kuhusu timu yenu mnamdefence Bugati.
Kwahiyo umefurahi na umekubali maneno hayo ya Bugatti kuhusu kinyesi?

Kama jibu ni Yes ina maana kila atakachosema Bugatti utapokea? Jibu ni Yes nakujibia kibabe

Haya twende Afisa Tabibu akili yako haijai kijiko kwahiyo Manara akisema "wale watu wewe Afisa Tabibu unaosema ni wazazi wako kumbe sio wewe uliokotwa tu jalalani" wakakulea nayo hiyo pia utapokea na kuja kushare humu JF na Facebook?

Je napo hapa vipi Manara akisema mke wako na mke wa mdogo wako walichepuka wakazaa na kaka yako hivyo wanao na watoto wa mdogo wako ni wa nje ya ndoa na si wa kwako?je utalibeba na kulikubali na kuja kushare JF?

Makolo atakaeweza kujibu haya anyooshe kidole!

Kama kila anachosema Manara mnabeba vipi hoja mbili hapo juu mtabeba?

In short Manara na wewe na Nyerere na Nandy wote ni binadamu na wanaropoka wanayojisikia na haimaanishi wanayoropoka ni ya kweli
 
Shamba la bwana kheri mali ya bwana kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…