Coaster showroom hupati kwa bei hiyomHivi 35M si naweza kununua coaster safi kabisa ikiwa showroom ambayo haitanisumbua?
Unapigia route za bushinabulandi huko.Samahani ila naomba kuuliza gaari hili ukilinunua mtu unafanyia nn?
Naomba niulize.
OkayUnapigia route za bushinabulandi huko.
Coaster High roof model ya 2006 unapata hadi kwa 30MCoaster showroom hupati kwa bei hiyom
Plus Kodi?Coaster High roof model ya 2006 unapata hadi kwa 30M
Leta hela upate gariPlus Kodi?
Fugia hata kuku ni uamuzi tuSamahani ila naomba kuuliza gaari hili ukilinunua mtu unafanyia nn?
Naomba niulize.
Huu ni uongo,bila Kodi hakuna coaster YOM 2006 utaipata chini ya $11,000 hapo bila Kodi.Leta hela upate gari
Kama una hela na unataka sema ndo kazi zanguHuu ni uongo,bila Kodi hakuna coaster YOM 2006 utaipata chini ya $11,000 hapo bila Kodi.
Nasema tena kwa sauti ya juu huu Ni uongo.Kama una hela na unataka sema ndo kazi zangu
Sasa unataka kubishana, kununua gari au Baiskeli ya elfu 40?Nasema tena kwa sauti ya juu huu Ni uongo.