๐๐๐๐๐ Duh umekubali haujui tofauti kati ya FOB vs CIF.Swali rahisi kwako,kwny hio picha uliyoiweka hapo hio $11,501(Tsh. 29,615,077) iliyoandikwa maana yake ni nini mtoto mzuri?View attachment 2955139
Hiyo ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐ Duh umekubali haujui tofauti kati ya FOB vs CIF.Swali rahisi kwako,kwny hio picha uliyoiweka hapo hio $11,501(Tsh. 29,615,077) iliyoandikwa maana yake ni nini mtoto mzuri?View attachment 2955139
Hiyo ni nini?
Mkuu huyo ni kijana wa ku-google hawezi kuelewa mambo ya showroom.Acha uongo, kaulize bei ya Coaster showroom ndio uje udanganye watu hapa
Mtoto mzuri unajua chochote khs magari?Umeamua umtolee uvivu baada ya kuona anakudhalilisha๐
[emoji3][emoji3][emoji3]Wewe Ni kaongo.
Sasa ukijumlisha na kodi ya TRA nadhani itafika mil 50. Ndo maana jamaa anakubishia.Sasa Mke wa jirani yangu hata Google imeshindwa kukusaidia?
Nikupe namba? Shida inakuja kwenye kodi huku tz mzee.๐๐ Utoto Ni Raha Sana,kwamba Kuna coaster ya $70 sio?Fanya kitu rahisi tu,hizo gari zote ulizopiga screenshot weka VIN zake hapa(,najua umezitoa hapa Toyota Coaster 1960-๏ฝbest price Japanese used cars for sale - TCV(former tradecarview)
nikuwekee CIF zake. Naomba madmax na offshore Seamen
wawe mashahidi Kama katika hizo gari Kuna ambayo iko chini ya CIF ya $11,000.
Unafugia kuku.Kwani hauoni lilivyopaki vizuri?Samahani ila naomba kuuliza gaari hili ukilinunua mtu unafanyia nn?
Naomba niulize.
Sijatoa hapo,๐๐ usikariri maisha.๐๐ Utoto Ni Raha Sana,kwamba Kuna coaster ya $70 sio?Fanya kitu rahisi tu,hizo gari zote ulizopiga screenshot weka VIN zake hapa(,najua umezitoa hapa Toyota Coaster 1960-๏ฝbest price Japanese used cars for sale - TCV(former tradecarview)
nikuwekee CIF zake. Naomba madmax na offshore Seamen
wawe mashahidi Kama katika hizo gari Kuna ambayo iko chini ya CIF ya $11,000.
sasa kama shida inakuja kwny kodi unadhani kwanini tunakubishia? utaliendeshea Japan? are you insane?Nikupe namba? Shida inakuja kwenye kodi huku tz mzee.
Hapana coaster saizi ni kuanzia milioni 70Hivi 35M si naweza kununua coaster safi kabisa ikiwa showroom ambayo haitanisumbua?
Hiyo hadi mkononi ni kama 50mSasa Mke wa jirani yangu hata Google imeshindwa kukusaidia?
Yes I am ๐sasa kama shida inakuja kwny kodi unadhani kwanini tunakubishia? utaliendeshea Japan? are you insane?