Wewe Ni muongo.Sasa unataka kubishana, kununua gari au Baiskeli ya elfu 40?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Ni muongo.Sasa unataka kubishana, kununua gari au Baiskeli ya elfu 40?
Safari za misibaSamahani ila naomba kuuliza gaari hili ukilinunua mtu unafanyia nn?
Naomba niulize.
Kama huna hiyo 30M nikuletee coaster kuna Baiskeli ya elfu 35 ipo itakufaa inaweza kubeba magunia manne ya pumba na madum mawili ya majiWewe Ni muongo.
Wewe Ni kaongo.Kama huna hiyo 30M nikuletee coaster kuna Baiskeli ya elfu 35 ipo itakufaa inaweza kubeba magunia manne ya pumba na madum mawili ya maji
Mdogo wangu coaster zipo model tofauti 35M unapata gari leta hela hiyo , coaster japan zipo hadi za $8K inategemea ni model gan unatakaWewe Ni kaongo.
Binti coaster ya 2006 utayoipata chini ya $11,000(CIF) Ni gari iliyotumika Kama 'kids bus' huko ma mbele.So wewe Ni kaongo.Mdogo wangu coaster zipo model tofauti 35M unapata gari leta hela hiyo , coaster japan zipo hadi za $8K inategemea ni model gan unataka
Sasa Mke wa jirani yangu hata Google imeshindwa kukusaidia?Binti coaster ya 2006 utayoipata chini ya $11,000(CIF) Ni gari iliyotumika Kama 'kids bus' huko ma mbele.So wewe Ni kaongo.
Umeamua umtolee uvivu baada ya kuona anakudhalilisha😂Sasa Mke wa jirani yangu hata Google imeshindwa kukusaidia?
Analeta habari za kubana puaUmeamua umtolee uvivu baada ya kuona anakudhalilisha😂
Achana nae huyo. Kuna machimbo gari unajibebea kuanzia $70Analeta habari za kubana pua
Kubali kushindwa kwa hili umepuyangaAnaleta habari za kubana pua
Acha uongo, kaulize bei ya Coaster showroom ndio uje udanganye watu hapaCoaster High roof model ya 2006 unapata hadi kwa 30M
Yapo mengi sanaAchana nae huyo. Kuna machimbo gari unajibebea kuanzia $70View attachment 2955113
Coaster zipo hadi za Million 200+ inategemea unataka model ipiAcha uongo, kaulize bei ya Coaster showroom ndio uje udanganye watu hapa
Vitoto vya chuo akili zenu ni za kijinga sanaKama huna hiyo 30M nikuletee coaster kuna Baiskeli ya elfu 35 ipo itakufaa inaweza kubeba magunia manne ya pumba na madum mawili ya maji
😀😀 Nashukuru Sana mke wangu umekubali hakuna coaster ya 2006 ya chini $11,00(CIF).Sasa Mke wa jirani yangu hata Google imeshindwa kukusaidia?
😀😀 Utoto Ni Raha Sana,kwamba Kuna coaster ya $70 sio?Fanya kitu rahisi tu,hizo gari zote ulizopiga screenshot weka VIN zake hapa(,najua umezitoa hapa Toyota Coaster 1960-|best price Japanese used cars for sale - TCV(former tradecarview)Achana nae huyo. Kuna machimbo gari unajibebea kuanzia $70View attachment 2955113