Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo 😃Huyu mwamba anawapenda wote aisee,😂😂
Hazinihusu mie
Bado nataka tukanywe wote 😎😀Vin km vin
Asante Kwa salamu 😊
Ushakunywa kahawa
PoaLeo tuache ipite mzee
Hakuna upepo
Asante mno.
😀 amini kwamba mkuuSo bit mkuu we uishi miaka buku 2
😂😂😂😂Muhudumu naomba uzimee mzikiii nataka kutuma samaleko zangu za heshima
Afu WAAMBIE watu wote wasimameeee.
Acha niweke tai yangu vizuri kwanzaaa!
Tumwesige senior samaleko zangu zikufikie ulipo
Ujumbe: Tusilale na viatu, Muhindi kesho lazima apasuke
Nikipata kibali kutoka kwa Mh. Rais wa majobless promax Intelligent businessman ntakutafutia wannee 😂Nitafutie pisi ya kinyarawanda na ARV za kutosha
Salamu senior Mshana Jr kaka naomba ARVs unitumie kww ungo😂😂Nikipata kibali kutoka kwa Mh. Rais wa majobless promax Intelligent businessman ntakutafutia wannee 😂
Asante mkuu salamu zako nimezipokeaMuhudumu naomba uzimee mzikiii nataka kutuma samaleko zangu za heshima
Afu WAAMBIE watu wote wasimameeee.
Acha niweke tai yangu vizuri kwanzaaa!
Tumwesige senior samaleko zangu zikufikie ulipo
Ujumbe: Tusilale na viatu, Muhindi kesho lazima apasuke