Huyo sio jobless, hivyo usi mtafutieπ€£Nikipata kibali kutoka kwa Mh. Rais wa majobless promax Intelligent businessman ntakutafutia wannee π
Neno la Rais ni sheriaaaaaa πHuyo sio jobless, hivyo usi mtafutieπ€£
yupi uliye nichagulia??, halafu shangazi hunaga dogoπWanazeeka wa kijiji huko bhana
Mimi bado mwanamke rijali na nusu.
Si nilikuchagulia mchumba ukaleta pozi unaona sasa unapata wenge? Pole mpwa ila ngoja niangalie namna ya kufanya
Usi rudie, lasivyo Nita kuchapa vibokoππ€£π€£π€£π€£π€£
πππEli Cohen samaleko zangu naomba uzifikishe kwa mwalimu wangu wa kwaya!
Mwambie baada ya kunywa BUTUA ndo nimeweza kukumbuka na kuomba Yale mashairi ya ule wimbo wake wa juzi kwa usahihi.
Unaimbwa hiviii!
I know your here, Precious Holy Spirit
I know your here, to bring the huge revival
Kwa sauti ya Apostle Joshua Selman
Mbona weweooooooo π
,ππππππ
"Zas wai ai waz rekoding, zas wai am rekoding"
ππππππSalamu Kijana masikini mpunguzie bia makutupora atamsalimia hadi shetaniππ
Nakufahamu wewe unaweza ukataka kula ndiyo ule, you know what i meanπ ila hapa ni pilau tu, ukihitaji mbususu nakudundaππDuh! Sasa jamani mie napenda pilau kuliko mbususu ukinipa pilau story kwisha mbususu sihitaji