makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Pamoja sanaaa MkuuuuDah hii ni respect kubwa sana kwangu mkuu, asante sana kwa kunikumbuka. Tuishi humu mkuu🙏🙏🙏🙏 makutupora nakutakia mapambano mema mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sanaaa MkuuuuDah hii ni respect kubwa sana kwangu mkuu, asante sana kwa kunikumbuka. Tuishi humu mkuu🙏🙏🙏🙏 makutupora nakutakia mapambano mema mkuu
Unatetea chama na viongozi wako wandaamizi kwa wivuu mkubwa sana 😂Mapambano gani akati huyo ni jobless pro max 😂 🤣
Jichanganye Sasa uta pasuka😂🤣Mh Rais wa Majobless Promax Dunianiiiiii
Rais hajibiwi hovyo hovyo Kuna protocols kesho majibu saa 4 usubuhiii 😂
Nimeona
Nimeona
Chama lazima kidumu😂Unatetea chama na viongozi wako wandaamizi kwa wivuu mkubwa sana 😂
Na iwe hivyo mkuuPamoja sanaaa Mkuuuu
Amen amen!!Natuma salamu kwa bro wangu Zulu man ishi Sana we kinyonga.
Shout out to my bro Eyce & Dr am 4 real PhD ishini sana
Salam salam. Sheikh
Salaam nimezipokea kwa moyo mnyumbulifu.Yani acha tu, huku duniani tunapitia mengi. I hope ni kweli mbinguni tutapumzika maana tutafika tumechoka 😅😅
Mi salamu zangu ziende kwa Mbaga Jr maana naye nahisi anazo kama zile nilizokosea kumtumia best yangu.
Salamu zimefika enzo akee😍
Natuma salamu kwa kataa ndoa wote, sera zetu ni zile zile hakuna kurudi nyuma.
Mwenyekiti Liverpool VPN, katibu mwenezi Intelligent businessman, mwanasheria Xi Jinping, makamu Natafuta Ajira
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
Forever, I mean no malice to nobodyPamoja sana mkuu
Linda kibunda chako epuka matapeli
I mean no malice to nobody
Hapana, raisi wa ma jobless pro max niko na njaa kaliAmen amen!!
Umekula?
Huwa unakula hewa pekee?Hapana, raisi wa ma jobless pro max niko na njaa kali
Mkuu nijicream kwanini?Natuma salamu kwa Half american nusu albino a.k.a kubwa la manusu acha kuji cream😂.
natuma salam kwa mwanangu fundi bishoo, leta skanka tupulize.
Allahumma khairan Fil kulli Amrin Antadhiruh...Jumaa KareemSalam salam. Sheikh
Hapana, nakula misosiHuwa unakula hewa pekee?
We una dhani huo unusu albino uli utoa wapi 😂 🤣