makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimezipata mwanawane mipambano iendelee mpaka kieleweke
Nashukuru sana kwa kunikumbuka, nasi tunakupenda zaidi.Shukran kwa salaam nami niwakumbuke Nurain Kazakh destroyer Firdaus na wewe pia ukiyenitumia salamu, nawapenda sana
Firdaus9Shukran kwa salaam nami niwakumbuke Nurain Kazakh destroyer Firdaus na wewe pia ukiyenitumia salamu, nawapenda sana
Shukrani habibty nakupenda pia ❤️❤️Shukran kwa salaam nami niwakumbuke Nurain Kazakh destroyer Firdaus na wewe pia ukiyenitumia salamu, nawapenda sana
😍 Tupo… Miss you.
🤣 Asante sn semaji
Sawa tundazuri...unipe tunda basi
Jaman weekend sijakuona, nicheck whatspp unipelekee moto, yaani dodoma baridi jaman mvua zilizoambata na baridi ya kimufindi cha kupuliza hadi kwenye mfupa, hadi natamani moto nipelekewe jaman.Sawa tundazuri...unipe tunda basi
Shukrani sana baby zu Salam zangu zikufikie popote pale ulipo Allah akujalie afya njema,nuru kwenye paja la uso wako na ridhki ya halali katika maisha yako.Shukran kwa salaam nami niwakumbuke Nurain Kazakh destroyer Firdaus na wewe pia ukiyenitumia salamu, nawapenda sana
Nilijua tuu hujaiona....asante mtaniTag yako unajua nimeiona leo hii sijui kwanini jana sikuiona!!
Anyway na kwako pia mtani 🤗
salamu nimezipata ulotuma kuniambiaSamaleko zangu zingine ... Mbona mic 🎤 haitoi sautiiiu! Puuu! Puuuu!
Eeh samaleko zangu zingine zimfikie Mama Mwana
Nakuombea maisha marefu sana
Ameen ameen ameen kwa sote ,Shukrani sana baby zu Salam zangu zikufikie popote pale ulipo Allah akujalie afya njema,nuru kwenye paja la uso wako na ridhki ya halali katika maisha yako.
Zingine ziende Kwa Mzee wangu mkimya Babu Kijana popote pale ulipo .