Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Jibu moja tu na nishalisemaNdio endeleeni kutoa majibu ya swali sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu moja tu na nishalisemaNdio endeleeni kutoa majibu ya swali sasa
kwenye swali hawakuongelea muda kabisa...so hio assumption unaitoaKapata hasara ya muda na usumbufu.
Mwaga madini mkuu tupate ujuziWatu waliosoma project apraisal hawawezi kukosa hili swali tena ukitaka tukupe na faind when it is discounted and non discounted
You are right sirJibu moja tu na nishalisema
kwenye swali hawakuongelea muda kabisa...so hio assumption unaitoa
Alipata faida ya $10.WENGI WATAKOSA HILO HALINA UBISHI? WEKA JIBU LAKO
JE JAMAA ALITENGENEZA KIASI GANI?
View attachment 2281466
Hajasema kuwa alikuwa na Dola 60 tuUmezingatia swali lililoulizwa? Umeambiwa katengeneza faida kiasi Gani kutokana na huyo mbuzi.
Kwa kuzingatia kwamba alikua na USD 60 tu kama mtaji.
Mfano ulioutoa ndio Hali ilivyo mtaani.
Sasa hapo faida ya USD 10 jumlisha na USD 60 aliyokuwa nayo inakua USD 70. Anatakiwa anunue mbuzi Kwa USD 80. Hapo inakuaje?
$10WENGI WATAKOSA HILO HALINA UBISHI? WEKA JIBU LAKO
JE JAMAA ALITENGENEZA KIASI GANI?
View attachment 2281466
Lakini anaongelea faida kwenye huo muamala mzima wa mbuzi sawa?Hajasema kuwa alikuwa na Dola 60 tu
Sasa hapo expenses zipo wapi...si bora uwe kilema tu kuliko kuitumia mikono uliyo pewa na Mungu kuitumia vibaya...👏👏👏Basic accounting, revenue minus expenses = gross profit.
$20WENGI WATAKOSA HILO HALINA UBISHI? WEKA JIBU LAKO
JE JAMAA ALITENGENEZA KIASI GANI?
View attachment 2281466