Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Na unaona kwamba hiyo 1.8 ni mshahara mkubwa?Je wakati unalipwa 80,000 minimum wage ilikuwa shi ngap?Kodi ya nyumba ilikuwa sh ngap?Bei ya kilo ya nyama ilikuwa sh ngp?Anyway endelea kufanya kazi acha kulalamaFanya kazi acha kulalama,Mimi nimeanza kazi nalipwa 80,000 kama basic na take home 65 ,000,Leo hii basic salary ni 1.8M ,hata Mbuyu ulianza kama mchicha