Basilla Mwanukuzi: Wakweli hawatakiwi nchini. Uongozi wangu ni kuweka maslahi ya wananchi mbele hata ikibidi kukosa cheo

Basilla Mwanukuzi: Wakweli hawatakiwi nchini. Uongozi wangu ni kuweka maslahi ya wananchi mbele hata ikibidi kukosa cheo

Ni wazi wakweli hawatakiwi nchi hii!
Umemfunga Paka Kengele!Kwa kweli wengi Umewagusa!

Nimeunukuu waraka wako wote!

"Na Basilla Mwanukuzi

KUNA CHA KUJIFUNZA

Aina yangu ya uongozi siku zote na muda wote ilijikita na itajikita katika kwanza kuweka mbele maslahi ya wananchi kwa gharama zote (hata ikibidi kukosa cheo)

2. Pili kuleta matokeo

Hakuna jambo kwangu ni hasara kama kua kwenye hali ya kutakiwa kuleta matokeo halafu kwenye mnyororo wa kuleta matokeo kuna watu wanaamua tu kua hayo matokeo sio shida zao...yani vile haraka ya nini??...hakuna matata...no hurry in Africa...ilihali wananchi wanaumia na kuteseka alafu na wewe ukaendelea kutulia tu kwenda na 'trend'

3. Kuleta matokeo kwa wakati
Muda ni kila kitu Serikali inafanya kazi kubwa MNO kuleta fedha kwa ajili ya wananchi inaleta fedha na muongozo mradi uishe ndani ya miezi 3. Inapaswa uishe ndani ya miezi 3 sana sana ukichelewa kidogo basi siku chache za nyongeza sio kama hapo ambapo ujenzi wa miezi 3 umechukua miaka 3 na fedha inaisha mradi haujaisha . Zahanati zote 3 . Wananchi wanateseka hawapati huduma
HAIKUBALIKI duniani wala mbinguni.

Uongozi ni dhamana, uongozi ni UTAKATIFU utakatifu uwe sio kwa mtu mmoja , ukiwa kwa mtu mmoja matokeo yake you will be THE ODD ONE OUT.
Uongozi ni UJASIRI

HASARA YA AINA HII YA UONGOZI (kama ni 'Hasara")
1. Utagombana na wote wenye maslahi yao hata ambao wanatakiwa kukuandikia taarifa zako (unaweza kuimagine watakachoamua kukuandikia ) kifupi utaharibiwa ma-file (uwe tayari)

FAIDA
Faida ni KUBWA ZAIDI utabaki na uadilifu wako na uaminifu wako , kwako , kwa nafasi yako, kwa mamlaka yako ya uteuzi, kwa WANANCHI, kwa Taifa lako, na kwa Mungu wako . Utakua na furaha na amani ya moyo

SWALI ambalo kila Mtanzania anatakiwa ajiulize kwa nini Mtandao wa wenye MASLAHI unanguvu ina maana kuna unakoanzia na kuna ukoishia. Ukideal na unakoishia unajikaanga na mbaya zaidi hata wanaotakiwa kuungana nguvu na wewe badala yake watakua wanaongeza mafuta ukaangike vizuri

Mwenyezi Mungu aendelee kumpa mwanga Mhe Rais wetu @samia_suluhu_hassan katika kuliongoza Taifa
Kumpa wasaidizi wenye mioyo safi kutoka kila NGAZI na kila IDARA na kuweka maslahi ya Taifa mbele. Ili tufike tunakotakiwa kufika kama Taifa

Instagra: basillamwanukuzi"
Hana lolote,ameli-miss VX V8!
 
Anayaongea Basila ni mfumo wa watendaji serikalini wako pale sio kuleta maendeleo kwa wakati bali kushiba na kujijenga kwa wakati huku wakifelisha miradi.

Hili sio la kuuliza kuanzia serikali za mitaa mpaka juu mambo yako hivi. Moja ya kiini cha nchi kutokuendelea.

Nenda hata mashirika kama bandari ya umma,posta, TIB yalikufa na kubinafsishwa sababu ya watendaji wabovu anawaongelea basila hapa. Kaongea kimafumbo lakini hapa SSH anahitaji kuwapa nafasi ya kusikia uozo ndani ya watendaji kutoka kwa watu kama kina basila.
 
Anayaongea Basila ni mfumo wa watendaji serikalini wako pale sio kuleta maendeleo kwa wakati bali kushiba na kujijenga kwa wakati huku wakifelisha miradi.

Hili sio la kuuliza kuanzia serikali za mitaa mpaka juu mambo yako hivi. Moja ya kiini cha nchi kutokuendelea.

Nenda hata mashirika kama bandari ya umma,posta, TIB yalikufa na kubinafsishwa sababu ya watendaji wabovu anawaongelea basila hapa. Kaongea kimafumbo lakini hapa SSH anahitaji kuwapa nafasi ya kusikia uozo ndani ya watendaji kutoka kwa watu kama kina basila.
Jf imejaa cilaza 99% hawaelewi kitu
 
Huyu Naye kiburi kiburi sana ...issue ya mamiss alitwaa vikaoni kutatua mgogoro akawadharau viongozi wa serikali hakwenda...huyu dada anakakiburi Sana hata wananchi alikuwa anawadharau Sana .nadhani mama kumla kichwa ilikuwa sahihi
 
Walivomla kichwa nkasema ni sahihi kabisa...anakabiruri na nyodo huyu dada ...unakumbuka suala la miss Tanzania alivowagomea kuitikia wito wa viongozi wa serikali kisa ana kacheo...pia wananchi alikuwa anawadharau Sana...
 
Ni wazi wakweli hawatakiwi nchi hii!
Umemfunga Paka Kengele!Kwa kweli wengi Umewagusa!

Nimeunukuu waraka wako wote!

"Na Basilla Mwanukuzi

KUNA CHA KUJIFUNZA

Aina yangu ya uongozi siku zote na muda wote ilijikita na itajikita katika kwanza kuweka mbele maslahi ya wananchi kwa gharama zote (hata ikibidi kukosa cheo)

2. Pili kuleta matokeo

Hakuna jambo kwangu ni hasara kama kua kwenye hali ya kutakiwa kuleta matokeo halafu kwenye mnyororo wa kuleta matokeo kuna watu wanaamua tu kua hayo matokeo sio shida zao...yani vile haraka ya nini??...hakuna matata...no hurry in Africa...ilihali wananchi wanaumia na kuteseka alafu na wewe ukaendelea kutulia tu kwenda na 'trend'

3. Kuleta matokeo kwa wakati
Muda ni kila kitu Serikali inafanya kazi kubwa MNO kuleta fedha kwa ajili ya wananchi inaleta fedha na muongozo mradi uishe ndani ya miezi 3. Inapaswa uishe ndani ya miezi 3 sana sana ukichelewa kidogo basi siku chache za nyongeza sio kama hapo ambapo ujenzi wa miezi 3 umechukua miaka 3 na fedha inaisha mradi haujaisha . Zahanati zote 3 . Wananchi wanateseka hawapati huduma
HAIKUBALIKI duniani wala mbinguni.

Uongozi ni dhamana, uongozi ni UTAKATIFU utakatifu uwe sio kwa mtu mmoja , ukiwa kwa mtu mmoja matokeo yake you will be THE ODD ONE OUT.
Uongozi ni UJASIRI

HASARA YA AINA HII YA UONGOZI (kama ni 'Hasara")
1. Utagombana na wote wenye maslahi yao hata ambao wanatakiwa kukuandikia taarifa zako (unaweza kuimagine watakachoamua kukuandikia ) kifupi utaharibiwa ma-file (uwe tayari)

FAIDA
Faida ni KUBWA ZAIDI utabaki na uadilifu wako na uaminifu wako , kwako , kwa nafasi yako, kwa mamlaka yako ya uteuzi, kwa WANANCHI, kwa Taifa lako, na kwa Mungu wako . Utakua na furaha na amani ya moyo

SWALI ambalo kila Mtanzania anatakiwa ajiulize kwa nini Mtandao wa wenye MASLAHI unanguvu ina maana kuna unakoanzia na kuna ukoishia. Ukideal na unakoishia unajikaanga na mbaya zaidi hata wanaotakiwa kuungana nguvu na wewe badala yake watakua wanaongeza mafuta ukaangike vizuri

Mwenyezi Mungu aendelee kumpa mwanga Mhe Rais wetu @samia_suluhu_hassan katika kuliongoza Taifa
Kumpa wasaidizi wenye mioyo safi kutoka kila NGAZI na kila IDARA na kuweka maslahi ya Taifa mbele. Ili tufike tunakotakiwa kufika kama Taifa

Instagra: basillamwanukuzi"
Ametimiza wajibu 🙏🙏
 
Kwanza asante kwa uzi huu!, pili niko very proud kwa huyu Dada!, mimi ndie MC wake alipotwaa taji ya Miss Tanzania, watu open na honest wa aina hii ndio watalisaidia taifa letu kusonga mbele tutoke hapa tulipo, tufike kule tunakopaswa kwenda.

Andiko hili ni very philosophic, kama Rais Samia ni philosopher, atamtafuta huyu dada ili ampe A-Z ya what really happened!. If she is not, then she can keep trusting her machinery, ila huyu dada Basila Mwanukuzi, is woman of integrity, a woman of substance!, I'm very proud of her!.

Dear Basila, stand firm for what you believe in and stand for, for your integrity u DC ni kitu kidogo sana!. Keep on being yourself, The Basila we know and God will elevate you to your deserving position.
P
Ushamuharibia tayari

Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
 
Duh ulitaka aandikaje mkuu embu sahisha makoza yake tuone Ni yapi

Mnk unakuwa mjinga San

Mm huyu nimemuelewa Ni mbaya Kama hajasevj peza na Wala Hana miradi ya maana hapo lazm chuchu zake ziume

Ila Kama Ana apartment zake ddm au Arusha na mwanza bas Wala asiwaze kazi inendelee

Mm sitaki ujinga nnchi hi Ni magufuli ndio alikuwa kidgo aliwezeaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu wa wilaya hela zipi za kusave, mshahara au? Ofisi ya mkuu wa wilaya inaweza kupata OC ya sh 2mln baada ya miezi 3 matumizi mengi ya ofisi inabidi kupiga magoti kwa mkurugenzi.
 
Back
Top Bottom