Hana lolote,ameli-miss VX V8!Ni wazi wakweli hawatakiwi nchi hii!
Umemfunga Paka Kengele!Kwa kweli wengi Umewagusa!
Nimeunukuu waraka wako wote!
"Na Basilla Mwanukuzi
KUNA CHA KUJIFUNZA
Aina yangu ya uongozi siku zote na muda wote ilijikita na itajikita katika kwanza kuweka mbele maslahi ya wananchi kwa gharama zote (hata ikibidi kukosa cheo)
2. Pili kuleta matokeo
Hakuna jambo kwangu ni hasara kama kua kwenye hali ya kutakiwa kuleta matokeo halafu kwenye mnyororo wa kuleta matokeo kuna watu wanaamua tu kua hayo matokeo sio shida zao...yani vile haraka ya nini??...hakuna matata...no hurry in Africa...ilihali wananchi wanaumia na kuteseka alafu na wewe ukaendelea kutulia tu kwenda na 'trend'
3. Kuleta matokeo kwa wakati
Muda ni kila kitu Serikali inafanya kazi kubwa MNO kuleta fedha kwa ajili ya wananchi inaleta fedha na muongozo mradi uishe ndani ya miezi 3. Inapaswa uishe ndani ya miezi 3 sana sana ukichelewa kidogo basi siku chache za nyongeza sio kama hapo ambapo ujenzi wa miezi 3 umechukua miaka 3 na fedha inaisha mradi haujaisha . Zahanati zote 3 . Wananchi wanateseka hawapati huduma
HAIKUBALIKI duniani wala mbinguni.
Uongozi ni dhamana, uongozi ni UTAKATIFU utakatifu uwe sio kwa mtu mmoja , ukiwa kwa mtu mmoja matokeo yake you will be THE ODD ONE OUT.
Uongozi ni UJASIRI
HASARA YA AINA HII YA UONGOZI (kama ni 'Hasara")
1. Utagombana na wote wenye maslahi yao hata ambao wanatakiwa kukuandikia taarifa zako (unaweza kuimagine watakachoamua kukuandikia ) kifupi utaharibiwa ma-file (uwe tayari)
FAIDA
Faida ni KUBWA ZAIDI utabaki na uadilifu wako na uaminifu wako , kwako , kwa nafasi yako, kwa mamlaka yako ya uteuzi, kwa WANANCHI, kwa Taifa lako, na kwa Mungu wako . Utakua na furaha na amani ya moyo
SWALI ambalo kila Mtanzania anatakiwa ajiulize kwa nini Mtandao wa wenye MASLAHI unanguvu ina maana kuna unakoanzia na kuna ukoishia. Ukideal na unakoishia unajikaanga na mbaya zaidi hata wanaotakiwa kuungana nguvu na wewe badala yake watakua wanaongeza mafuta ukaangike vizuri
Mwenyezi Mungu aendelee kumpa mwanga Mhe Rais wetu @samia_suluhu_hassan katika kuliongoza Taifa
Kumpa wasaidizi wenye mioyo safi kutoka kila NGAZI na kila IDARA na kuweka maslahi ya Taifa mbele. Ili tufike tunakotakiwa kufika kama Taifa
Instagra: basillamwanukuzi"
Hakuna DC anatumia VX-V8,jadili hoja acha Ukeuke!Hana lolote,ameli-miss VX V8!
Huu wa kwako ni utumbo wa kukuYaani Uongozi Uwe Utakatifu Hizi Elimu Mlisoma Kweli
Umetema Cheo Kaa Kwa Kutulia Tu Dawa Iingie
Jf imejaa cilaza 99% hawaelewi kituAnayaongea Basila ni mfumo wa watendaji serikalini wako pale sio kuleta maendeleo kwa wakati bali kushiba na kujijenga kwa wakati huku wakifelisha miradi.
Hili sio la kuuliza kuanzia serikali za mitaa mpaka juu mambo yako hivi. Moja ya kiini cha nchi kutokuendelea.
Nenda hata mashirika kama bandari ya umma,posta, TIB yalikufa na kubinafsishwa sababu ya watendaji wabovu anawaongelea basila hapa. Kaongea kimafumbo lakini hapa SSH anahitaji kuwapa nafasi ya kusikia uozo ndani ya watendaji kutoka kwa watu kama kina basila.
Tanzania haiitaji aina hii ya uongoziLaiti ungefuatilia utendaji wake usingemlaumu alikuwa Kiongozi mkweli na anayesimamia ukweli
Tusi jipya[emoji23]Hakuna DC anatumia VX-V8,jadili hoja acha Ukeuke!
Ametimiza wajibu 🙏🙏Ni wazi wakweli hawatakiwi nchi hii!
Umemfunga Paka Kengele!Kwa kweli wengi Umewagusa!
Nimeunukuu waraka wako wote!
"Na Basilla Mwanukuzi
KUNA CHA KUJIFUNZA
Aina yangu ya uongozi siku zote na muda wote ilijikita na itajikita katika kwanza kuweka mbele maslahi ya wananchi kwa gharama zote (hata ikibidi kukosa cheo)
2. Pili kuleta matokeo
Hakuna jambo kwangu ni hasara kama kua kwenye hali ya kutakiwa kuleta matokeo halafu kwenye mnyororo wa kuleta matokeo kuna watu wanaamua tu kua hayo matokeo sio shida zao...yani vile haraka ya nini??...hakuna matata...no hurry in Africa...ilihali wananchi wanaumia na kuteseka alafu na wewe ukaendelea kutulia tu kwenda na 'trend'
3. Kuleta matokeo kwa wakati
Muda ni kila kitu Serikali inafanya kazi kubwa MNO kuleta fedha kwa ajili ya wananchi inaleta fedha na muongozo mradi uishe ndani ya miezi 3. Inapaswa uishe ndani ya miezi 3 sana sana ukichelewa kidogo basi siku chache za nyongeza sio kama hapo ambapo ujenzi wa miezi 3 umechukua miaka 3 na fedha inaisha mradi haujaisha . Zahanati zote 3 . Wananchi wanateseka hawapati huduma
HAIKUBALIKI duniani wala mbinguni.
Uongozi ni dhamana, uongozi ni UTAKATIFU utakatifu uwe sio kwa mtu mmoja , ukiwa kwa mtu mmoja matokeo yake you will be THE ODD ONE OUT.
Uongozi ni UJASIRI
HASARA YA AINA HII YA UONGOZI (kama ni 'Hasara")
1. Utagombana na wote wenye maslahi yao hata ambao wanatakiwa kukuandikia taarifa zako (unaweza kuimagine watakachoamua kukuandikia ) kifupi utaharibiwa ma-file (uwe tayari)
FAIDA
Faida ni KUBWA ZAIDI utabaki na uadilifu wako na uaminifu wako , kwako , kwa nafasi yako, kwa mamlaka yako ya uteuzi, kwa WANANCHI, kwa Taifa lako, na kwa Mungu wako . Utakua na furaha na amani ya moyo
SWALI ambalo kila Mtanzania anatakiwa ajiulize kwa nini Mtandao wa wenye MASLAHI unanguvu ina maana kuna unakoanzia na kuna ukoishia. Ukideal na unakoishia unajikaanga na mbaya zaidi hata wanaotakiwa kuungana nguvu na wewe badala yake watakua wanaongeza mafuta ukaangike vizuri
Mwenyezi Mungu aendelee kumpa mwanga Mhe Rais wetu @samia_suluhu_hassan katika kuliongoza Taifa
Kumpa wasaidizi wenye mioyo safi kutoka kila NGAZI na kila IDARA na kuweka maslahi ya Taifa mbele. Ili tufike tunakotakiwa kufika kama Taifa
Instagra: basillamwanukuzi"
Ushamuharibia tayariKwanza asante kwa uzi huu!, pili niko very proud kwa huyu Dada!, mimi ndie MC wake alipotwaa taji ya Miss Tanzania, watu open na honest wa aina hii ndio watalisaidia taifa letu kusonga mbele tutoke hapa tulipo, tufike kule tunakopaswa kwenda.
Andiko hili ni very philosophic, kama Rais Samia ni philosopher, atamtafuta huyu dada ili ampe A-Z ya what really happened!. If she is not, then she can keep trusting her machinery, ila huyu dada Basila Mwanukuzi, is woman of integrity, a woman of substance!, I'm very proud of her!.
Dear Basila, stand firm for what you believe in and stand for, for your integrity u DC ni kitu kidogo sana!. Keep on being yourself, The Basila we know and God will elevate you to your deserving position.
P
Na mwisho kichwa kikaliwa[emoji21]Hii fact! JPM aliyekuwa na majeshi aliomba tumuombee kila nukta! Vipi mkuu wa wilaya? Hii nchi ni hatari!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu wa wilaya hela zipi za kusave, mshahara au? Ofisi ya mkuu wa wilaya inaweza kupata OC ya sh 2mln baada ya miezi 3 matumizi mengi ya ofisi inabidi kupiga magoti kwa mkurugenzi.Duh ulitaka aandikaje mkuu embu sahisha makoza yake tuone Ni yapi
Mnk unakuwa mjinga San
Mm huyu nimemuelewa Ni mbaya Kama hajasevj peza na Wala Hana miradi ya maana hapo lazm chuchu zake ziume
Ila Kama Ana apartment zake ddm au Arusha na mwanza bas Wala asiwaze kazi inendelee
Mm sitaki ujinga nnchi hi Ni magufuli ndio alikuwa kidgo aliwezeaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app