Basilla Mwanukuzi: Wakweli hawatakiwi nchini. Uongozi wangu ni kuweka maslahi ya wananchi mbele hata ikibidi kukosa cheo

Uongozi ni utakatifu.🙏🙏🙏

Uongozi wa Umma ni Utumishi sawa na Utumishi HEKALUNI, hivyo hutakiwi kusubiri kusimamiwa,

Unawajibika Kwa Mungu moja Kwa moja.

Kauli Yako, imehifadhiwa Kwa matumizi ya BAADAYE.

Aamen
 
Upo sahihi hasa kwa upande wa JPM kweny issue kama hizi, but upande wa scenario ya mwanamfalme na kinachoendelea cna uhakika ingawa yamesemwa mengi san! Nadhan eventually kila jambo litakua wazi tu!
 
She is very arrogant in person. Sio sifa nzuri kwa kiongozi.

Asubiri kamba nyingine.
 
Pole basila, naona walijua kuwa wewe ni mweupe kichwani kutokana na historia ya CV yako!
Pole sana mama
 


😍😍
 
Huyo dada yupo vizuri kipesa kitambo.

Ana urithi wa kutosha tu wa mijengo prime areas.

Kabla hajateuliwa tu alikuwa anaendesha gari za gharama kuliko v8
Alikua na chuma plate namba kaweka jina lake BASILA MWANUKUZI ilikua European car Jeep moja matatraa.
Extrovert mzee wa European cars aje kutia neno.
 
Wabongo bwana wanafikiri kila mtu anayekubali hizo teuzi ni kwamba ana njaa sana. Basila ni LG kitambo sana.
Waporipori na watoto wadogo ndiyo anaweza kuwa mgeni masikioni mwao
 
NIMETOKA KAPA KWA MARA KWANZA HUMU JF SIJAELEWA KITU KWENYE ANDIKO SIONI KITCHWA SIONI MGUU SIONI KIWILIWILI,🚮🚮🚮
 
We jamaa sikuwahi kujua na wewe huwa unatetea WEZI!
 
Sasa hio shida ipo tokea uhuru sasa huyo basila ana nn mpakaaimalize ndani ya miaka mitano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…