Basilla Mwanukuzi: Wakweli hawatakiwi nchini. Uongozi wangu ni kuweka maslahi ya wananchi mbele hata ikibidi kukosa cheo

Basilla Mwanukuzi: Wakweli hawatakiwi nchini. Uongozi wangu ni kuweka maslahi ya wananchi mbele hata ikibidi kukosa cheo

Huyo dada yupo vizuri kipesa kitambo.

Ana urithi wa kutosha tu wa mijengo prime areas.

Kabla hajateuliwa tu alikuwa anaendesha gari za gharama kuliko v8
Mama yao kawaacha vizuri sana

Na maasset juu kawaongezea

Bora aachane na kazi hiyo ale maisha tu

Ova
 

Na Basilla Mwanukuzi​

KUNA CHA KUJIFUNZA​

Aina yangu ya uongozi siku zote na muda wote ilijikita na itajikita katika kwanza kuweka mbele maslahi ya wananchi kwa gharama zote (hata ikibidi kukosa cheo)​

2.. Pili kuleta matokeo​

Hakuna jambo kwangu ni hasara kama kua kwenye hali ya kutakiwa kuleta matokeo halafu kwenye mnyororo wa kuleta matokeo kuna watu wanaamua tu kua hayo matokeo sio shida zao...yani vile haraka ya nini??...hakuna matata...no hurry in Africa...ilihali wananchi wanaumia na kuteseka alafu na wewe ukaendelea kutulia tu kwenda na 'trend'​

3. Kuleta matokeo kwa wakati​

Muda ni kila kitu Serikali inafanya kazi kubwa MNO kuleta fedha kwa ajili ya wananchi inaleta fedha na muongozo mradi uishe ndani ya miezi 3. Inapaswa uishe ndani ya miezi 3 sana sana ukichelewa kidogo basi siku chache za nyongeza sio kama hapo ambapo ujenzi wa miezi 3 umechukua miaka 3 na fedha inaisha mradi haujaisha . Zahanati zote 3 . Wananchi wanateseka hawapati huduma​

HAIKUBALIKI duniani wala mbinguni.​

Uongozi ni dhamana, uongozi ni UTAKATIFU utakatifu uwe sio kwa mtu mmoja , ukiwa kwa mtu mmoja matokeo yake you will be THE ODD ONE OUT.​

Uongozi ni UJASIRI​

HASARA YA AINA HII YA UONGOZI (kama ni 'Hasara")​

1. Utagombana na wote wenye maslahi yao hata ambao wanatakiwa kukuandikia taarifa zako (unaweza kuimagine watakachoamua kukuandikia ) kifupi utaharibiwa ma-file (uwe tayari)​

FAIDA​

Faida ni KUBWA ZAIDI utabaki na uadilifu wako na uaminifu wako , kwako , kwa nafasi yako, kwa mamlaka yako ya uteuzi, kwa WANANCHI, kwa Taifa lako, na kwa Mungu wako . Utakua na furaha na amani ya moyo​

SWALI ambalo kila Mtanzania anatakiwa ajiulize kwa nini Mtandao wa wenye MASLAHI unanguvu ina maana kuna unakoanzia na kuna ukoishia. Ukideal na unakoishia unajikaanga na mbaya zaidi hata wanaotakiwa kuungana nguvu na wewe badala yake watakua wanaongeza mafuta ukaangike vizuri​

Mwenyezi Mungu aendelee kumpa mwanga Mhe Rais wetu @samia_suluhu_hassan katika kuliongoza Taifa​

Kumpa wasaidizi wenye mioyo safi kutoka kila NGAZI na kila IDARA na kuweka maslahi ya Taifa mbele. Ili tufike tunakotakiwa kufika kama Taifa​

Instagra: basillamwanukuzi
haya ni maombolezo au nini?
 
Huyo dada yupo vizuri kipesa kitambo.

Ana urithi wa kutosha tu wa mijengo prime areas.

Kabla hajateuliwa tu alikuwa anaendesha gari za gharama kuliko v8
Nadhani uko sahihi mkuu. Nipo Korogwe, kuna jamaa yangu mmoja wa online tv ambaye alikuwa anafanya naye kazi kwa ukaribu aliniambia huyu Bi dada yuko stable sana financially. Mara ya mwisho hapa Korogwe alikuwa anatembelea jeep moja nyekundu matata sana.

Na nasikia mjini Daslam ana investments zake ambazo by any means hawezi kufa njaa; sema ndiyo vile tu madaraka nayo matamu bwana [emoji3]...
 
Nadhani uko sahihi mkuu. Nipo Korogwe, kuna jamaa yangu mmoja wa online tv ambaye alikuwa anafanya naye kazi kwa ukaribu aliniambia huyu Bi dada yuko stable sana financially. Mara ya mwisho hapa Korogwe alikuwa anatembelea jeep moja nyekundu matata sana.

Na nasikia mjini Daslam ana investments zake ambazo by any means hawezi kufa njaa; sema ndiyo vile tu madaraka nayo matamu bwana [emoji3]...


Baba yake alikuwa daktari wa kwanza m Tanzania kuwa mkuu wa hospital ya taifa ya muhimbili baada ya uhuru.

Huyo dada amerithi majumba oysterbay, masaki, mikocheni.

Anamiliki kumbi za harusi.

Yaani ana urithi wa kutosha tu huyo basila.

Nazani Ndie miss Tanzania kutoka familia mambo safi kuliko wote kuwahi kutokea
 

Na Basilla Mwanukuzi

KUNA CHA KUJIFUNZA

Aina yangu ya uongozi siku zote na muda wote ilijikita na itajikita katika kwanza kuweka mbele maslahi ya wananchi kwa gharama zote (hata ikibidi kukosa cheo)

2.. Pili kuleta matokeo

Hakuna jambo kwangu ni hasara kama kua kwenye hali ya kutakiwa kuleta matokeo halafu kwenye mnyororo wa kuleta matokeo kuna watu wanaamua tu kua hayo matokeo sio shida zao...yani vile haraka ya nini??...hakuna matata...no hurry in Africa...ilihali wananchi wanaumia na kuteseka alafu na wewe ukaendelea kutulia tu kwenda na 'trend'

3. Kuleta matokeo kwa wakati
Muda ni kila kitu Serikali inafanya kazi kubwa MNO kuleta fedha kwa ajili ya wananchi inaleta fedha na muongozo mradi uishe ndani ya miezi 3. Inapaswa uishe ndani ya miezi 3 sana sana ukichelewa kidogo basi siku chache za nyongeza sio kama hapo ambapo ujenzi wa miezi 3 umechukua miaka 3 na fedha inaisha mradi haujaisha . Zahanati zote 3 . Wananchi wanateseka hawapati huduma
HAIKUBALIKI duniani wala mbinguni.

Uongozi ni dhamana, uongozi ni UTAKATIFU utakatifu uwe sio kwa mtu mmoja , ukiwa kwa mtu mmoja matokeo yake you will be THE ODD ONE OUT.
Uongozi ni UJASIRI

HASARA YA AINA HII YA UONGOZI (kama ni 'Hasara")
1. Utagombana na wote wenye maslahi yao hata ambao wanatakiwa kukuandikia taarifa zako (unaweza kuimagine watakachoamua kukuandikia ) kifupi utaharibiwa ma-file (uwe tayari)

FAIDA
Faida ni KUBWA ZAIDI utabaki na uadilifu wako na uaminifu wako , kwako , kwa nafasi yako, kwa mamlaka yako ya uteuzi, kwa WANANCHI, kwa Taifa lako, na kwa Mungu wako . Utakua na furaha na amani ya moyo

SWALI ambalo kila Mtanzania anatakiwa ajiulize kwa nini Mtandao wa wenye MASLAHI unanguvu ina maana kuna unakoanzia na kuna ukoishia. Ukideal na unakoishia unajikaanga na mbaya zaidi hata wanaotakiwa kuungana nguvu na wewe badala yake watakua wanaongeza mafuta ukaangike vizuri

Mwenyezi Mungu aendelee kumpa mwanga Mhe Rais wetu @samia_suluhu_hassan katika kuliongoza Taifa
Kumpa wasaidizi wenye mioyo safi kutoka kila NGAZI na kila IDARA na kuweka maslahi ya Taifa mbele. Ili tufike tunakotakiwa kufika kama Taifa

Instagra: basillamwanukuzi
Kwani ukiteuliwa katika wadhifa wa umma na kuondolewa na mamlaka ya nchi kama kweli mtu ni mwadilifu; si unaendelea kutumiki taifa lako kivingine? Haya maneno mengi instagram, twitter, fb ya nini? Vijana tubadilike.🙏🙏🙏
 
Vilaza hamuwezi kuelewa.

Hatutegemei kiongozi mkubwa wa ngazi ya Ukuu wa Wilaya asijue Kiswahili fasaha!

Nitakutajia baadhi ya makosa aliyoyafanya, mbwiga wewe:

masilahi


2.


kuwa


ikuwa


ili hali


halafu


masilahi


ku-imagine


kwa ufupi


utakuwa


masilahi


una nguvu


unakoishia


uki-deal


watakuwa


masilahi

Kimsingi makosa ni mengi sana, ila nyie vilaza hamtakaa muelewe.
Kutokana na hayo makosa hukuelewa? PUMBAVU
 
Ni wazi wakweli hawatakiwi nchi hii! Umemfunga paka kengele, kwa kweli wengi umewagusa. Nimeunukuu waraka wako wote;

"Na Basilla Mwanukuzi

KUNA CHA KUJIFUNZA

Aina yangu ya uongozi siku zote na muda wote ilijikita na itajikita katika kwanza kuweka mbele maslahi ya wananchi kwa gharama zote (hata ikibidi kukosa cheo).

2. Pili kuleta matokeo

Hakuna jambo kwangu ni hasara kama kuwa kwenye hali ya kutakiwa kuleta matokeo halafu kwenye mnyororo wa kuleta matokeo kuna watu wanaamua tu kuwa hayo matokeo sio shida zao. Yaani vile haraka ya nini? Hakuna matata. No hurry in Africa. Ilihali wananchi wanaumia na kuteseka halafu na wewe ukaendelea kutulia tu kwenda na 'trend'.

3. Kuleta matokeo kwa wakati

Muda ni kila kitu Serikali inafanya kazi kubwa MNO kuleta fedha kwa ajili ya wananchi inaleta fedha na muongozo mradi uishe ndani ya miezi 3. Inapaswa uishe ndani ya miezi 3 sana sana ukichelewa kidogo basi siku chache za nyongeza sio kama hapo ambapo ujenzi wa miezi 3 umechukua miaka 3 na fedha inaisha mradi haujaisha. Zahanati zote 3. Wananchi wanateseka hawapati huduma, HAIKUBALIKI duniani wala mbinguni.

Uongozi ni dhamana, uongozi ni UTAKATIFU, utakatifu uwe sio kwa mtu mmoja, ukiwa kwa mtu mmoja matokeo yake you will be THE ODD ONE OUT. Uongozi ni UJASIRI.

HASARA YA AINA HII YA UONGOZI (kama ni 'Hasara")

1. Utagombana na wote wenye maslahi yao hata ambao wanatakiwa kukuandikia taarifa zako (unaweza kuimagine watakachoamua kukuandikia ) kifupi utaharibiwa ma-file (uwe tayari).

FAIDA
Faida ni KUBWA ZAIDI utabaki na uadilifu wako na uaminifu wako, kwako kwa nafasi yako, kwa mamlaka yako ya uteuzi, kwa WANANCHI, kwa Taifa lako, na kwa Mungu wako. Utakua na furaha na amani ya moyo.

SWALI ambalo kila Mtanzania anatakiwa ajiulize kwa nini Mtandao wa wenye MASLAHI unanguvu ina maana kuna unakoanzia na kuna ukoishia. Ukideal na unakoishia unajikaanga na mbaya zaidi hata wanaotakiwa kuungana nguvu na wewe badala yake watakua wanaongeza mafuta ukaangike vizuri.

Mwenyezi Mungu aendelee kumpa mwanga Rais wetu Samia Suluhu Hassan katika kuliongoza Taifa, kumpa wasaidizi wenye mioyo safi kutoka kila NGAZI na kila IDARA na kuweka maslahi ya Taifa mbele ili tufike tunakotakiwa kufika kama Taifa.

Instagram: basillamwanukuzi
 
Back
Top Bottom