Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,502
- 6,049
Ghafla sana, nilihamia kwenye swimming pool kidogo.31-14 😩😩😩
S Sudan walianza vizuri, mbona kama wamepoteana mapema hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ghafla sana, nilihamia kwenye swimming pool kidogo.31-14 😩😩😩
Quarter 3 ndio nitaona muelekeo31-14 😩😩😩
Leo timu haipo vizuri, alafu ni kama US wamepania sanaGhafla sana, nilihamia kwenye swimming pool kidogo.
S Sudan walianza vizuri, mbona kama wamepoteana mapema hivi.
Kweli aisee Leo wote wamewaka Derick white anapiga steals kibaoMkuu 55-36 watarudi vipi? Ile exhibition game imewaponza. Watu waliongea sana sasa leo vijana wa Biden wanataka kuweka records straight. Wana hio mentality.
Leo kugumu, alafu game ya mwisho na SerbiaSio hawako vizuri ni kwamba USA wamekuja na A-game defensively and offensively
Mwenyewe sioni wakirudi mchezoni tena., ila jamaa wana team nzuri.,Mkuu 55-36 watarudi vipi? Ile exhibition game imewaponza. Watu waliongea sana sasa leo vijana wa Biden wanataka kuweka records straight. Wana hio mentality.
Ghafla sana, nilihamia kwenye swimming pool kidogo.
S Sudan walianza vizuri, mbona kama wamepoteana mapema hivi.
Hamna, shughuli imeishaIla nawapa nafasi vs Serbia. Hawa watoto wako vizuri wanaweza kutoa upset ya karne.
Gepu kubwa sana HiloMwenyewe sioni wakirudi mchezoni tena., ila jamaa wana team nzuri.,
Sudan ni wazuri sana, tatizo ni kundi walilopo. Sioni namna watamfunga serbiaSSD timu nzuri sana. Kufungwa na USA sio kipimo hapo yoyote anachezea kuchapo.
Quarter ya pili 29-21 wamejitahid sanaHuoni D wanayopigwa mzee baba?
Shughuli imeishaHapa tujipange mechi ijayo na SERBIA
Leo hatutok
Kwa 22Quarter ya pili 29-21 wamejitahid sana
Wamekutana na Timu Mama basket ilipozaliwaSSD timu nzuri sana. Kufungwa na USA sio kipimo hapo yoyote anachezea kuchapo.