Mkuu ukisoma uzi wa Mshana almost 99.9% umejitosheleza. Nashangaa watu sijui hamsomi vizuri,hamuelewi au ndo namna gani sielewi nyie mnakwama wapi.Mshana kwa hiyo haya magari used ya Beforward na SBT ambayo sisi tukinunua tunaita gari mpya tuachane nayo?
Jamaa inasemekana juzi alisherekea birthday yake kwenye cack kulikuwa na picha ya bastola sasa bado anazidi kuibua mijadala alikuwa na maana ganiYeah object ni yabisi.. Yabisi kiroho zinabeba bahati na laana pia
Waulize wafanyabiashara wa magari utakuta kuna baadhi ya gari anazipenda sana kwakuwa hazimsumbui kwa ajali, vipuli wala madereva
Wawindaji nao hivyohivyo kuna silaha hazilali njaa
Hata ardhi pia kuna vipande hutoa mazao mengi nknk
Natamani kuona hiyo attachment, lakin alas! Imepigwa spana.Silaha tajwa tayari imeshaondoka na roho mbili na tayari iko mikononi mwa jeshi la polisi.. Haijajulikana kama mmiliki alinunua 'used' au brand new!
Kama kanunua mtumba ni kwamba hapo kabla ilishawahi kutumika mostly ilishauwa.. Wangapi? Haijulikani..labda mpaka kupata historia yake..! Kama kanunua mpya na yeye ndio mtumiaji wa kwanza basi kama sio silaha yenyewe basi pesa iliyotumika haikuwa na baraka.. Ilikuwa na mazonge..Na tayari silaha husika imeshaingia kwenye ulimwengu hasi
Kimsingi hakuna kesi tena ...! Muuaji naye kajimaliza.. Jalada litafunguliwa kisha baada ya muda litafungwa! Hakuna mshtakiwa...kidhibiti kinaweza kuwa huru na kuingizwa kwenye mirathi ama vinginevyo
Kama kitaingizwa kwenye mirathi kitakuja kuuzwa kama mali za marehemu .. Silaha hairithishwi.. Mnunuzi anaweza kutafutwa na ndugu na itauzwa kupitia jeshi la polisi na kitakachopatikana atakabidhiwa msimamizi wa mirathi
Silaha iliyoondoa uhai wa mtu hasa at close range ni dili sana kwa majambazi na wezi wanaotumia silaha kupora ama wauaji wa kukodishwa! Hiyo tayari ina damu kubwa hivyo kafara lake ni rahisi.. Silaha iliyouwa maranyingi zaidi kishirikina ina thamani kubwa zaidi kuliko ile ambayo haijawahi kuondoka na roho hata moja! Hivyo hii silaha ya Sinza inaweza kuwindwa na watu wabaya...!
Kwa upande mwingine ile silaha inawezekana kabida ina nuksi, laana ama imebeba maagano mabaya hasa kama ilikuwa mtumba...! Kuna vitu ni mali ya kuzimu na kazi yake ni kuharibu na kuumiza tuu..Ndio maana kuna watu hawapendi kabisa kununua vitu mtumba..vingi vimebeba nuksi laana na maagano kama nilivyosema hapo juu..!
Tukio limeshatokea na kuzua mijadala mingi mitandaoni.. Pengine kuna watu watawajibishwa hasa kama utaratibu wa kummilikisha mhusika silaha haukufuatwa inavyotakikana
Niandikapo haya kuna familia mbili ziko kwenye msiba mzito.. Wa kuondokewa na baba, kaka mume nknk.. Tayari kuna maisha mapya wanaenda kuyaanza bila mhimili wa familia.. Ni hali ngumu sana..
Haya yote yatasahaulika baada ya muda.. Na itafika mahali kama silaha husika haitateketezwa na jeshi la polisi basi itaingizwa kwenye mirathi na kuuzwa kwa mwingine...
Kuna maroho na mapepo ya kuzimu yapo duniani kuharibu na kutesa na hujipenyeza kwenye vitu na watu... Haya mavitu ya mtumba tunayotumia hatujui huko nyuma yalipitia mikono gani na yalinenewa nini.. Kuna baadhi vimebeba mapepo mapepo na maroho mabaya
Kuna baadhi vimelaaniwa na wamiliki wa kwanza au wa pili nk
Kuna baadhi vimenenewa vibaya
Kuna baadhi vimetumika kwenye madhabahu za kishirikina
Jitahidi unapopata kitu cha mtumba kitakase kwa imani yako
Nimeandika mada hii kwa mtazamo wa kiroho.. Wanaoona ni tukio la kawaida wasione ni kituko kuwaza tofauti na wao..!
View attachment 1858067
Ndio kihalali kabisa video nimerushia hapo juu ifungue utaona akiwa pori mafunzoni namna ya kutumiaKwa hiyo alikuwa anamiliki kihalali
Mafunzo lazima
Na birthday yake ilikuwa tar13, tarehe inayoogopwa mno na wazungu.. Zaidi mdogo wake alikufa last month same dateJamaa inasemekana juzi alisherekea birthday yake kwenye cack kulikuwa na picha ya bastola sasa bado anazidi kuibua mijadala alikuwa na maana gani
Basi hiyo family kuna shida mahali kuna kitu kinawafuata.Na birthday yake ilikuwa tar13, tarehe inayoogopwa mno na wazungu.. Zaidi mdogo wake alikufa last month same date
wanasema tusiyasema vibaya ya marehemu lakini huyo jamaa wala siyo,alishawahi kumshika mke wa jamaa yangu tako hapo hapo jamaa akamaind ba bomba juu ikatolewa he deserve kwa hukum aliyojipaSilaha tajwa tayari imeshaondoka na roho mbili na tayari iko mikononi mwa jeshi la polisi.. Haijajulikana kama mmiliki alinunua 'used' au brand new!
Kama kanunua mtumba ni kwamba hapo kabla ilishawahi kutumika mostly ilishauwa.. Wangapi? Haijulikani..labda mpaka kupata historia yake..! Kama kanunua mpya na yeye ndio mtumiaji wa kwanza basi kama sio silaha yenyewe basi pesa iliyotumika haikuwa na baraka.. Ilikuwa na mazonge..Na tayari silaha husika imeshaingia kwenye ulimwengu hasi
Kimsingi hakuna kesi tena ...! Muuaji naye kajimaliza.. Jalada litafunguliwa kisha baada ya muda litafungwa! Hakuna mshtakiwa...kidhibiti kinaweza kuwa huru na kuingizwa kwenye mirathi ama vinginevyo
Kama kitaingizwa kwenye mirathi kitakuja kuuzwa kama mali za marehemu .. Silaha hairithishwi.. Mnunuzi anaweza kutafutwa na ndugu na itauzwa kupitia jeshi la polisi na kitakachopatikana atakabidhiwa msimamizi wa mirathi
Silaha iliyoondoa uhai wa mtu hasa at close range ni dili sana kwa majambazi na wezi wanaotumia silaha kupora ama wauaji wa kukodishwa! Hiyo tayari ina damu kubwa hivyo kafara lake ni rahisi.. Silaha iliyouwa maranyingi zaidi kishirikina ina thamani kubwa zaidi kuliko ile ambayo haijawahi kuondoka na roho hata moja! Hivyo hii silaha ya Sinza inaweza kuwindwa na watu wabaya...!
Kwa upande mwingine ile silaha inawezekana kabida ina nuksi, laana ama imebeba maagano mabaya hasa kama ilikuwa mtumba...! Kuna vitu ni mali ya kuzimu na kazi yake ni kuharibu na kuumiza tuu..Ndio maana kuna watu hawapendi kabisa kununua vitu mtumba..vingi vimebeba nuksi laana na maagano kama nilivyosema hapo juu..!
Tukio limeshatokea na kuzua mijadala mingi mitandaoni.. Pengine kuna watu watawajibishwa hasa kama utaratibu wa kummilikisha mhusika silaha haukufuatwa inavyotakikana
Niandikapo haya kuna familia mbili ziko kwenye msiba mzito.. Wa kuondokewa na baba, kaka mume nknk.. Tayari kuna maisha mapya wanaenda kuyaanza bila mhimili wa familia.. Ni hali ngumu sana..
Haya yote yatasahaulika baada ya muda.. Na itafika mahali kama silaha husika haitateketezwa na jeshi la polisi basi itaingizwa kwenye mirathi na kuuzwa kwa mwingine...
Kuna maroho na mapepo ya kuzimu yapo duniani kuharibu na kutesa na hujipenyeza kwenye vitu na watu... Haya mavitu ya mtumba tunayotumia hatujui huko nyuma yalipitia mikono gani na yalinenewa nini.. Kuna baadhi vimebeba mapepo mapepo na maroho mabaya
Kuna baadhi vimelaaniwa na wamiliki wa kwanza au wa pili nk
Kuna baadhi vimenenewa vibaya
Kuna baadhi vimetumika kwenye madhabahu za kishirikina
Jitahidi unapopata kitu cha mtumba kitakase kwa imani yako
Nimeandika mada hii kwa mtazamo wa kiroho.. Wanaoona ni tukio la kawaida wasione ni kituko kuwaza tofauti na wao..!
View attachment 1858067
Kwa hiyo silaha inapaswa isiue mtu si ndio?Silaha tajwa tayari imeshaondoka na roho mbili na tayari iko mikononi mwa jeshi la polisi.. Haijajulikana kama mmiliki alinunua 'used' au brand new!
Kama kanunua mtumba ni kwamba hapo kabla ilishawahi kutumika mostly ilishauwa.. Wangapi? Haijulikani..labda mpaka kupata historia yake..! Kama kanunua mpya na yeye ndio mtumiaji wa kwanza basi kama sio silaha yenyewe basi pesa iliyotumika haikuwa na baraka.. Ilikuwa na mazonge..Na tayari silaha husika imeshaingia kwenye ulimwengu hasi
Kimsingi hakuna kesi tena ...! Muuaji naye kajimaliza.. Jalada litafunguliwa kisha baada ya muda litafungwa! Hakuna mshtakiwa...kidhibiti kinaweza kuwa huru na kuingizwa kwenye mirathi ama vinginevyo
Kama kitaingizwa kwenye mirathi kitakuja kuuzwa kama mali za marehemu .. Silaha hairithishwi.. Mnunuzi anaweza kutafutwa na ndugu na itauzwa kupitia jeshi la polisi na kitakachopatikana atakabidhiwa msimamizi wa mirathi
Silaha iliyoondoa uhai wa mtu hasa at close range ni dili sana kwa majambazi na wezi wanaotumia silaha kupora ama wauaji wa kukodishwa! Hiyo tayari ina damu kubwa hivyo kafara lake ni rahisi.. Silaha iliyouwa maranyingi zaidi kishirikina ina thamani kubwa zaidi kuliko ile ambayo haijawahi kuondoka na roho hata moja! Hivyo hii silaha ya Sinza inaweza kuwindwa na watu wabaya...!
Kwa upande mwingine ile silaha inawezekana kabida ina nuksi, laana ama imebeba maagano mabaya hasa kama ilikuwa mtumba...! Kuna vitu ni mali ya kuzimu na kazi yake ni kuharibu na kuumiza tuu..Ndio maana kuna watu hawapendi kabisa kununua vitu mtumba..vingi vimebeba nuksi laana na maagano kama nilivyosema hapo juu..!
Tukio limeshatokea na kuzua mijadala mingi mitandaoni.. Pengine kuna watu watawajibishwa hasa kama utaratibu wa kummilikisha mhusika silaha haukufuatwa inavyotakikana
Niandikapo haya kuna familia mbili ziko kwenye msiba mzito.. Wa kuondokewa na baba, kaka mume nknk.. Tayari kuna maisha mapya wanaenda kuyaanza bila mhimili wa familia.. Ni hali ngumu sana..
Haya yote yatasahaulika baada ya muda.. Na itafika mahali kama silaha husika haitateketezwa na jeshi la polisi basi itaingizwa kwenye mirathi na kuuzwa kwa mwingine...
Kuna maroho na mapepo ya kuzimu yapo duniani kuharibu na kutesa na hujipenyeza kwenye vitu na watu... Haya mavitu ya mtumba tunayotumia hatujui huko nyuma yalipitia mikono gani na yalinenewa nini.. Kuna baadhi vimebeba mapepo mapepo na maroho mabaya
Kuna baadhi vimelaaniwa na wamiliki wa kwanza au wa pili nk
Kuna baadhi vimenenewa vibaya
Kuna baadhi vimetumika kwenye madhabahu za kishirikina
Jitahidi unapopata kitu cha mtumba kitakase kwa imani yako
Nimeandika mada hii kwa mtazamo wa kiroho.. Wanaoona ni tukio la kawaida wasione ni kituko kuwaza tofauti na wao..!
View attachment 1858067
Mmh kuna kilichokuwa kinamtafuta kumbewanasema tusiyasema vibaya ya marehemu lakini huyo jamaa wala siyo,alishawahi kumshika mke wa jamaa yangu tako hapo hapo jamaa akamaind ba bomba juu ikatolewa he deserve kwa hukum aliyojipa
Alafu nimesikia mmoja wa marehemu tarehe alokufa ndo hiyohiyo alikufa mdogo wake mwaka janaTuliwahi kununua bastola pale Obay na raia mmoja wa nje.. Shida tulizopata na ile silaha sitakaa nizisahau....kuja kupata historia yake ya kweli niliogopa na kutishika mno...
Yeah hii ni kweli kabisa .. Jamaa yetu chuoni alikuwa hashiki kisu na hilo liko kwenye familia yao.. Yaani anakwambia wakishika visu lazima viwakate tena hasaBasi hiyo family kuna shida mahali kuna kitu kinawafuata.
Ila kitaalam silaha inaendana na damu au jadi fulani kuna koo zikishika vitu kama hivyo zinaamsha kichaa.
Nakumbuka kipindi niko jkt kuna jamaa kipindi ha gwaride la silaha jamaa akipokea tuu silaha anaamsha mashetani
Kweli kabisa kakaBaba yao tunaambiwa alikuwa tajiri sana... Utajiri una mengi ndani yake
[emoji817][emoji736][emoji1545]Asante sana KwisenseKwa Mila zetu sisi tunaamini kama uliuua na kunyang'anya mtu siraha nawe itatoka kama ulivyoipata. Kama uliipata kwa maumivu nayo itatoka kwa maumivu, tutumie busara na kuchunguza kwa umakini vitu tunavyonunua.
Mshana Jr amenena vyema kabisa
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hawa ndiyo wanatufanya sasa hata kama ulitaka uongeze silaha ya pili nyumbani kwa ulinzi wa mali zako serikali inakupa masharti kibao.kama ulikasirika au umevamiwa kuna ile tukio la kwanza kama tahadhari huyo adui wako akuelewe unaimiliki piga juu.ya pili pia kama ameona kuna ile kama kujilinda kama tahadhari unapiga kwenye miguu tu.tatu kama alikuwa unaona na wewe maisha yako huyo mwengine ana silaha ndiyo kujiokoa ushamtahadharisha umepiga juu bado anakutafuta na silaha yake unamuwahi yeye kabla hajakuwahi ya moyo.ila huyu kaitumia silaha vibaya kwa hali zoote kwanza hao hawakuwa na silaha kama yake,ipo haja serikali ipitie upya sheria za umiliki wa silaha ili tusirudi kama mauaji ya marekani na south africa.Mambo haya tulishawahi kujadili toka zama za mkapa hapo silaha zitakapoanza kuuzwa dukani kama pipi.kwanza kuna kipengele chake unapoachiwa uimiliki huruhusiwi kwenda nayo club kama za pombe inatgemea uliiomba kama wewe ndiye mmiliki halali wa club.Huyu katuharibia ambao tunataka tumiliki silaha tena sana.Na hili litaongeaa kutubana upyaaaa.
Ndio kihalali kabisa video nimerushia hapo juu ifungue utaona akiwa pori mafunzoni namna ya kutumia