Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani ningekuwa kainzi huko aliko mkwere na wapambe wake ili nisikie yanayojiri katika mazungumzo yao.😛eace:😛eace:😛eace:
kama slaa vile!! Upadri na siasa. Mtunza kondoo wa mungu kama politician, ila anafaa!!!!!!!!!!!!
aache usenge huyo.. Kama alitaka ashinde yeye si angehamia chadema..asilete ukuda kabisa. Nasema asaini na akikataa ashikiriwe mkono alazimishwe kusaini,, aache ukuda huyo.
the following user says thank you to harrysonful for this useful post:
rev masanilo (today)
Confirmed: Arusha Mjini vurugu za "kumwaga damu" ni imminent
Mkuu vp tena maji ya shingo? Umepotea sana siku 2 hizi
Hao si ndo walikuwa wa kwanza kusema wapinzani wakubali matokeo sasa vipi tena kwao?
Lazima walinywe, maana washalikoroga
Nimepigiwa simu sasa hivi na mtu aliyepo Manispaa Arusha mjini anasema Batilda anakataa katakata kusaini fomu ya matokeo...Wakazi wa Arusha kwa ujumla wao wamezunguka ofisi hizo na wamejaa sana na kufunga barabara zote, hapapitiki kabisa kwa usafiri wa magari!
Nafuatilia zaidi.
Ulisema hatashinda.....kashindaMkuu nipo sana Lema ameshinda Arusha hakuna ubishi makao makuu ya EAC itaongozwa na mbunge mwenye elimu ya kuchakachua.Sijachukia sana kwakuwa mpinzani kashinda bado nasisitiza Lema si karata ya kuaminika mtakuja niambia mbele ya safari.
Mkuu zile sumu zako vipi hazikufanya kazi??
Kwani kufaanya biashara ni dhambi kaka?
Ebu lete updates za Batilda hapo mkuu, vipi kaachilia jimbo?
na mmwaga damu ni batilda na si chadema... angekubali kusaini matokeoAm getting the same news!!!
Asante kwa kuepusha umwagaji damu...nasikia kuna vijana walikuwa wamejificha mahali na wameagana na wake na ndugu zao kuwa kama wasingerudi basi na ijulikane kuwa ni..."si mbaliiiiii..karibu",..tutafika na sisi hukooooo"Habari za hivi karibuni ni kwamba amekubali matokeo!