Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mliamua aje? Tubwage tu? Sawa! Mimi hii vidoe itonesha baadhi ya 5 star hotels in Nairobi!!
20 Five star hotels in this video

 
4e2fdba681b2e862db08fc9daee3cbaf.jpg
 
Kariakoo market is still one of the main supplier in East and Central Africa countries. Yet kenya leteni soko kubwa ya kwenu yenye nguvu kama kariakoo.
 
[HASHTAG]#Dar[/HASHTAG] free markrt
[HASHTAG]#mkuki[/HASHTAG] house
[HASHTAG]#mlimani[/HASHTAG] city mall
 
Kulingana na baadhi ya wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.

Halafu mkuu mbona team Lumumba huwa hawaji huku unabaki mwenyewe unapambana , basi watag wote kina lizaboni, lupyee, pohamba, mzee mwanakijiji, tupatupa waje na huku sio wanaleta uduanzi wao tu kule jukwaa la siasa wakati hawawezi itetea serikali yao nje ya mipaka.....waite wajeee na huku
 
Halafu mkuu mbona team Lumumba huwa hawaji huku unabaki mwenyewe unapambana , basi watag wote kina lizaboni, lupyee, pohamba, mzee mwanakijiji, tupatupa waje na huku sio wanaleta uduanzi wao tu kule jukwaa la siasa wakati hawawezi itetea serikali yao nje ya mipaka.....waite wajeee na huku
Huku hakuna posho per post...Kule kwingine kila post ya kukisifia chama wanalipwa jero.
 
Back
Top Bottom