Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

da051d8864f690e488d005bed557c44d.png
JKIA_T1A_pre-opening_sm.jpg
maynard-h-jackson-airport.jpg
 
Annael AKO WAPI KWANI DAR NI HOTEL NA BRT PEKEE YAKE??? alafu ujue hatukaweka hotels za coastal area because nai ni landlocked...so hakuna ati mnasema hotel mmeshinda..mmeshinda wapi????
 
Annael AKO WAPI KWANI DAR NI HOTEL NA BRT PEKEE YAKE??? alafu ujue hatukaweka hotels za coastal area because nai ni landlocked...so hakuna ati mnasema hotel mmeshinda..mmeshinda wapi????
Ok. Sema nimerudi unasemaje? Kuna vitu vingi nimepost. Wewe anza kuvijibu kimoja kimoja. Wewe isome thread tu.
 
Ok. Sema nimerudi unasemaje? Kuna vitu vingi nimepost. Wewe anza kuvijibu kimoja kimoja. Wewe isome thread tu.
haya nataka twende the next item...taja sector moja unayotaka tujadili na tuanze mara moja
 
haya nataka twende the next item...taja sector moja unayotaka tujadili na tuanze mara moja
Tunaanza na Master Plan of the city. Anza wewe kisha nitakujibu twende taratibu.
 
city masterplan niaje...picha za nairobi ama? niwie radhi
Plan ya mji unavyotakiwa kuwa. Map of the city plan (Summary). Kama huna sema huna ili tuendelee na kingine.
 
Basi usifananishe BRT na matatu. Vipi kuhusu boat?

Kaka hawa sasa wanatambia rail yao mpya ambayo na Tanzania itajengwa mwaka huu, wanasahau kuwa wakati wao wakiwa na rail ya mkoloni Mwingereza sisi tulikuwa na rail ya Mkoloni Mjerumani na pia tulikuwa na Rail ya Watanzania wenyewe Tazara, afterall mambo ya rail wanayoyaonyesha sio kitu cha Nairobi bali ni Mombasa- Nairobi
 
sina hio pengine skyline ya nairobi...ila kasi ni yako...
Skyline sio master plan. Kama huna. Mimi nimekuwekea ya dar es salaam kwenye post #2.
Tuendelee na kingine:-
Current View of the city.
 
Kaka hawa sasa wanatambia rail yao mpya ambayo na Tanzania itajengwa mwaka huu, wanasahau kuwa wakati wao wakiwa na rail ya mkoloni Mwingereza sisi tulikuwa na rail ya Mkoloni Mjerumani na pia tulikuwa na Rail ya Watanzania wenyewe Tazara, afterall mambo ya rail wanayoyaonyesha sio kitu cha Nairobi bali ni Mombasa- Nairobi
Unajua mimi nimewaacha tu sasa hivi naenda nao Taratibu. Maana jamaa wanaanza kuonesha usafiri wa ndege.
 
Skyline sio master plan. Kama huna. Mimi nimekuwekea ya dar es salaam kwenye post #2.
Tuendelee na kingine:-
Current View of the city.
sawa
Current view of the city

15535214_1551209738228512_7883521082940981248_n.jpg
150204152107-nairobi-intelligent-city-scene-highrise-super-169.jpg
 

Attachments

  • upload_2017-1-8_22-52-46.jpeg
    upload_2017-1-8_22-52-46.jpeg
    12.4 KB · Views: 90
Back
Top Bottom