Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sawa
Current view of the city

15535214_1551209738228512_7883521082940981248_n.jpg
150204152107-nairobi-intelligent-city-scene-highrise-super-169.jpg
Hii hapa ni view ya Dar es salaam City. Linganisha mwenyewe kisha utoe point kabla hatujaenda kitu kingine.
26424352866_c9eefd6d4a_k.jpg
30699171070_b76f03ef87_k.jpg
30942301052_bbdede465a_k.jpg
30970485061_251dc643b6_k.jpg
30970485061_8847d0a5e6_z.jpg
30970488111_9c0463f19f_k.jpg
31048948266_b0190db03c_k.jpg
31084689695_f9bb5bc2e5_z.jpg
31084696235_6c008513db_z.jpg
dm3.jpg
dm5.jpg
 
Nakusubiri njoo utoe marks wewe mwenyewe.
 
Soma comment zangu. Tunataka kwenda kwa step. Maana hatutaona chochote. Wewe weka post moja tu. Na mimi naweka moja kisha tuna compare sawa?
sawa post moja basi....tuende jambo gani lingine
 
Nakusubiri njoo utoe marks wewe mwenyewe.
wanaosoma thread ndio watakaoamua kwasababu hakuna mtu yeyote ambaye atasema jiji lao sio la kwanza..mimi nitasema nairobi iko juu wewe utasema Dar...tutakua tume accomplish nini sasa
 
sawa post moja basi....tuende jambo gani lingine
Kabla ya kwenda jambo lingine marks zinatolewa na tunakubaliana. Kwenye master plan umesema huna sawa?
Twende kwenye view sasa.
 
Kaka hawa sasa wanatambia rail yao mpya ambayo na Tanzania itajengwa mwaka huu, wanasahau kuwa wakati wao wakiwa na rail ya mkoloni Mwingereza sisi tulikuwa na rail ya Mkoloni Mjerumani na pia tulikuwa na Rail ya Watanzania wenyewe Tazara, afterall mambo ya rail wanayoyaonyesha sio kitu cha Nairobi bali ni Mombasa- Nairobi


Wewe hata sijui utaambiwa nini. SGR yapitia mjini Nairobi kwa hivyo ina manufaa kwa wakaazi wa jiji hili. Wacha nikupe picha za station za Nairobi
U7zuucr.jpg


NAIROBI SOUTH SGR STATION

C1QD4NDWEAA_4fy.jpg


ATHI RIVER STATION(ATHI RIVER IS PART OF NAIROBI)

N2oBIpZ.jpg



SGR TUNNEL TO NAIVASHA AT NGONG, NAIROBI

15178948_1162198423815528_332323651457053215_n.jpg



Nairobi INLAND CONTAINER DEPOT upgrade to meet the huge cargo freight to and from Nairobi SGR

hvIG8mk.jpg



TRACK LAYING TO NAIROBI HAS ALREADY BEEN COMPLETED

120733_9e11e7cc4eb6b5aacf05a9f38843c2f5.jpg
 
Duh Nairobi iko mbalii sana sio ya kufananisha na Dar... kwa kuanzia tu hio airstrip ya JKN huwezi linganisha kabisa na Jomo Kenyatta International Airport.. ukija kwenye road map.. ooh my god wenzetu wako mbali mno mazee!
 
wanaosoma thread ndio watakaoamua kwasababu hakuna mtu yeyote ambaye atasema jiji lao sio la kwanza..mimi nitasema nairobi iko juu wewe utasema Dar...tutakua tume accomplish nini sasa
Very good answer
 
Wataamua wapi? Tunaamua mimi na wewe.
angalia post hii moja hapa ya mwenzako...juu ya hii...ila ni sawa...my re,marks....Dar iko poa kwani ina beaches, ocean view, glass buidlings na kadhalika...Nairobi naye ina skyscrapers, internationally recognizeed landmarks, national parks, recreational parks, etc...out of ten naipa nairobi 7...dar naipa 5
 
Duh Nairobi iko mbalii sana sio ya kufananisha na Dar... kwa kuanzia tu hio airstrip ya JKN huwezi linganisha kabisa na Jomo Kenyatta International Airport.. ukija kwenye road map.. ooh my god wenzetu wako mbali mno mazee!
Wewe hujui lolote sasa hivi tunaenda step kwa step wewe subiri. Usibabaishwe na mtu anapost picha kila baada ya sekunde moja. Amezikusanya kuanzia asubuhi. Subiri utaona tutakapotupia Terminal III. Utashangaa.
 
Ok on this one Nairobi has ran with it..... Keep developing sweet Nairobi.
 
angalia post hii moja hapa ya mwenzako...juu ya hii...ila ni sawa...my re,marks....Dar iko poa kwani ina beaches, ocean view, glass buidlings na kadhalika...Nairobi naye ina skyscrapers, internationally recognizeed landmarks, national parks, recreational parks, etc...out of ten naipa nairobi 7...dar naipa 5
Hizo marks zako. Kwahiyo kwenye view umekubali dar ipo vizuri sio?
 
Back
Top Bottom