the fact ni kwamba kapoteza na hiyo kura 22 mlihonga over Ksh 6 bln!Raila did better that what you Bongolalas were posting yesterdayβ¦ check the differenceβ¦
View attachment 3237222
ππππ sensor ya check engine imewasha taathe fact ni kwamba kapoteza na hiyo kura 22 mlihonga over Ksh 6 bln!
kweli kua mkenya ni kuzaliwa kua kichaaπYemeni boy , I thought you update yourself with Kenya current events line by line ama umeamua kuwa selective opportunistβ¦. Am sure you know Gen Z feel Raila sold them out and betrayed their course β¦so they were rooting for Djiboutiβ¦ am sure you knew that ..π
We were supporting tge Djibouti guy, ama hukuona tukiwaambia tunaka Raila ashimdwe?
Nimekuuliza hilo chaka la hayawani nalo ni sehemu ya metropolis? πππYou will never comprehend the value of that photoβ¦. A mind is a terrible thing to waste β¦
hapo ndipo walipotezana watu wamekula fedha zao halafu wakapigia interests za nchi zao! Raila chalii...!!Kule hakuna kampeni za Unga Chiniii.
Punda amechokaaaa..... Mama mboga and blaa blaaa...
Sema Baba... Ni kama Mandongaa tuu... Akishinda anaitisha maandamano na akishindwa vile vile anaitisha maandamano.... . Haha haha... Saalaaleee... Aipeleke AU mahakamani wameiba kura zake π€£π€£π€£
Diplomasia yao kimataifa haina tija,wafikirie upya muundo wakeSomeone's head got chopped off!
View: https://x.com/daddyhope/status/1890784010214719779
View: https://x.com/MeruFmOfficial/status/1890784000794341641
View: https://x.com/sntvnews1/status/1890786459835080862
View: https://x.com/amerix/status/1890784343213191580
View: https://x.com/joseph_kalimbwe/status/1890787960787816924
MY TAKE
Kenya attitude towards eastern Congo conflict has costed them the seat!
NairobiWalker Teargass n mwathadan
Mtifuano 2027 upo palepale!!Masikini wa Kunyaland wanatia huruma kweli ππππ
Hii nchi kuanzia raia mpaka viongozi ni jokers π€£πΉ kuna Marais zaidi ya 45 hapo na machawa waliokua wakimkampenia huyu mzee lakini wote wanawakwepa kama kimba π wameshatafuna pesa za mafala
View: https://x.com/JosephMasta_/status/1890818542632575010?t=NILEJapdJzbrfkyCUfMJEQ&s=19
Hivi diplomasia ya Tanzania imewafikisha wapi?Diplomasia yao kimataifa haina tija,wafikirie upya muundo wake
vimbelembele angalia EAC kila siku wanavyolazimisha kuruka Rotation na kuhodhi chairmanship! Kuna vinchi hapa Afrika havija-mature bado na bado ni vibaraka vya West huwezi ukawapa madaraka makubwa namna hii! Watawauza! Kenya, Rwanda na Uganda wote walewale!Diplomasia yao kimataifa haina tija,wafikirie upya muundo wake
Ushamba tupu, huwezi enda kwa website ubook mwenyewe ujue? π
hapo ndipo walipotezana watu wamekula fedha zao halafu wakapigia interests za nchi zao! Raila chalii...!!