ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 79,360
- 154,913
comment zao zimejaa chuki tu ๐๐๐
View: https://x.com/nationafrica/status/1890824970026000698?s=46
View: https://x.com/nationafrica/status/1890824970026000698?s=46
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That doesn't answer the question.Charles Onyango-Obbo
Nation Media Group Executive Editor
Sisi hatujawahi kuwa Saizi ya kima yeyote Africa.
Your own Newspaper: theeastafrican.co.ke
View attachment 3237386
wakenya wengi sasa hvi wanapeleka lawama zao SADC ๐๐๐๐๐๐
ila wametumia pesa nyingi jamani 6b ksh hahahaha alaf kitumbua kimeingia mchanga
Serikali yenu imewaibia bilioni zaidi ya 10 kumkapenia odinga kwa rushwa na hongo halafu unasema eti mlikua mnamkampenia yusufu?Saii ndo wanajifanya hawajui Kenyans were campaigning for Yussouf, na ni hao walikuwa wanapost huku kenyans campaigning on X๐๐
Hamna impact yoyote, ni ceremonial position tu to attend functions basi na kula mshahara na poshoKiufupi Raila kama President AU ingekuwa disaster motions zote kuhusu suala la eastern DRC zingeminywa na Rwanda, Uganda na Kenya wangeendelea kuwa madalali ya uporaji kule DRC! Hata miradi ya SGR kwenda Kindu toka Burundi ingekuwa sabotaged! Sasa subiri uone mziki utakaochezwa dhini ya Kagame na M23!
Ninyi mmeshapunwa hela bana mission failed kwa aibu kubwa, eti capital of Africa wakati hata kuweka kiongozi hamuwezi, hamna influence hamna impact, yaani Africa imewaambia Kenya ni trash, zingekua ni nchi zinazojielewa na ushawishi kama Tanzania au SA ni secondsNajua sahii mnashindwa jinsi ya kuweka loss ya Raila kama habari mbaya kwa sababu tayari wakenya majority walikwona kama traitor, tena mnashindwa kuweka ruto kwa hali mbaya kwa sababu wakenya wenyewe ndio wamewazidi kumharibia jina, na tukiwaambianga hatuko same mnaonanga kama ni hekaya za abunwasi๐
Kuongezea, hatuna chuki naye, bado heshima yake iko kwa yale mazuri aliyoyafanya
Alikua hagombei odinga mzee ilikua inagombea Kenya, African presidents wamesema Kenya ni takataka, Djibouti ni better 100 times ๐ ๐ ๐Wakenya wanasherekea loss ya Raila kuwaliko hadi wameshindwa vile wataanza kutucheka๐๐
Usihangaike na angles, weka tu hii uondoke ๐ ๐ ๐That's Nairobi National Park. Wacha kujitoa ufahamu. And yes, it's in Nairobi.
And talking of Nairobi metropolis, have a look at these and tell me if you have anything close to these areas in Dar and it's environs
1. Ruaka
View attachment 3237302View attachment 3237303View attachment 3237304View attachment 3237305
2. Ruiru
View attachment 3237315View attachment 3237316View attachment 3237317
Kiserian (25km) from Nairobi cbd
View attachment 3237323View attachment 3237324
Rongai, 26 kms from Nairobi cbd
View attachment 3237327View attachment 3237328
Athi River, 29kms from cbd
View attachment 3237333View attachment 3237334View attachment 3237335View attachment 3237336View attachment 3237338View attachment 3237342View attachment 3237343View attachment 3237348
Ngong
View attachment 3237355View attachment 3237356View attachment 3237357
Juja, 33kms from Nairobi cbd
View attachment 3237358View attachment 3237359View attachment 3237361View attachment 3237362View attachment 3237363View attachment 3237364View attachment 3237365
Now, this is what a metropolis is
Kwenye regional issues AU ina weight yake!Hamna impact yoyote, ni ceremonial position tu to attend functions basi na kula mshahara na posho
Vipi kuhusu Amina Mohammed?We were supporting tge Djibouti guy, ama hukuona tukiwaambia tunaka Raila ashimdwe?