Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


View: https://x.com/usembassytz/status/1890782145238499683?t=4l-jwgp5IvG3eTln_qP7bA&s=19
20250216_075040.jpg
 
Kiufupi Raila kama President AU ingekuwa disaster motions zote kuhusu suala la eastern DRC zingeminywa na Rwanda, Uganda na Kenya wangeendelea kuwa madalali ya uporaji kule DRC! Hata miradi ya SGR kwenda Kindu toka Burundi ingekuwa sabotaged! Sasa subiri uone mziki utakaochezwa dhini ya Kagame na M23!
Hamna impact yoyote, ni ceremonial position tu to attend functions basi na kula mshahara na posho
 
Najua sahii mnashindwa jinsi ya kuweka loss ya Raila kama habari mbaya kwa sababu tayari wakenya majority walikwona kama traitor, tena mnashindwa kuweka ruto kwa hali mbaya kwa sababu wakenya wenyewe ndio wamewazidi kumharibia jina, na tukiwaambianga hatuko same mnaonanga kama ni hekaya za abunwasi๐Ÿ˜‚
Kuongezea, hatuna chuki naye, bado heshima yake iko kwa yale mazuri aliyoyafanya
Ninyi mmeshapunwa hela bana mission failed kwa aibu kubwa, eti capital of Africa wakati hata kuweka kiongozi hamuwezi, hamna influence hamna impact, yaani Africa imewaambia Kenya ni trash, zingekua ni nchi zinazojielewa na ushawishi kama Tanzania au SA ni seconds
 
Back
Top Bottom