Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Since Raila betrayed the Gen Z ushaiskia amwitisha maandamano watu wakaenda? Najua hamtaki kukubali kwamba we are more happy that Raila has failed kuliko vile nyinyi mmefurahi, furaha yenu haiezifikia za wakenya.
Betrayed Gen Z?

Acha kujiosha Mmeshindwa kubali L potea. Kwani Gen Z ndio wanapiga Kura?
 
Nani hua anaaza huo ujinga?
Niambie ni nani?
Mliponyima Silvia Mulinge work permit kisa ni Mkenya mkapea Mmisri Wakenya tulikuwa tumemnyima Mtanzania mgani work permit? Tibaijuka hakufanya kazi Nairobi kama Mkurugenzi wa UN-HABITA miaka hiyo yote bila shida? Halafu ile siku tutamnyima Bongolala work permit mtatuita roho mbaya.
 
Umesoma response ya Airtel kwa Hilo swali la jamaa yenu.

Haya mpeleke will Pozzee, kaandamane kabisa Pozee apewe tangazo la Airtel.
Mada ni wewe kuita Wakenya roho mbaya kisa wengine wao kachukizwa na Diamond kuchukuliwa. Usibadilishe mada. In fact ingekuwa huko Bongo serikali yenu ingepinga, saa zingine mimi huona serikali yetu inakuwa nzuri kwa majirani sana kupitiliza. Ipo siku tutapata yule Rais wa tit for tat mtakielewa.
 
Wapuuzi sana sasa kama Airtel inataka msanii wa ku-market Borderless network across Africa, ni Mkundustani gani anaweza fit hiyo category? Wakundu ni wapumbavu sana wanataka kuingilia market strategy ya makampuni sasa! No wonder Africa imemkula kichwa Raila!
 
mjapan ndio aliwafundisha gari yake ibebe mzigo hvo?? hvi nyinyi usomi wenu unawasaidia nn ??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hio ni moja ya indicator ya umaskini wa hali ya juu
Kwao ni kinyume, gari la mizigo hubeba watu halafu gari la abiria hubeba mizigo. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…