Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uelewa wako ni mdogo sana. Huna uwezo wa kutofautisha agenda ya wanasiasa na wananchi wenyewe, sio kama kwenu. Ile siku utaelewa uniite tujadiliane.
Haya nielimishe Ni pesa ngapi ilitumika?
 
Unaonkena a fool au mjinga kulazimisha kuwa Arusha una 20k seats ,wakati unajua hakika ni 30k seats ,plus uko stage ya majukwaa
Huyo ni mpuuzi kiasi kwamba nilimkataza asini quote tena cz hayuko relevant, ana utoto mwingi ilihali ni mtu mzima, mjinga kama huyo siwezi ku debate naye.
 
Huyu kapuku kila post lazima ataje US, wakenya washamba sn aloo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Uelewa wako ni mdogo sana. Huna uwezo wa kutofautisha agenda ya wanasiasa na wananchi wenyewe, sio kama kwenu. Ile siku utaelewa uniite tujadiliane.
Haya nielimishe Ni pesa ngapi ilitumika?
Kalilie kwa choo, Raila kashindwa na pesa mmetoa, hiyo ndiyo furaha yangu nikiona mkenya anaumia.
 
Hakuna picha ya tiny Nairobi haijawahi kupostiwa humu, ka area kenyewe ni 696km², huu uzi umeanza 2017, 8 yrs now, do you believe there are some parts of tiny Nairobi left out?
Show me any part of Dar is slum that has never been posted here
 
Show me any part of Dar is slum that has never been posted here
Sehemu kubwa ya Dar haijaoneshwa humu, ndiyo mana wakenya wenzio wakija wanapigwa butwaa, ofcz Tanzania kwenye suala la marketing and branding bado sn, imagine nyie mshamaliza picha zote za Nairobi lkn sisi hatujafika hata 50% ya Dar.
 
Huyu kapuku kila post lazima ataje US, wakenya washamba sn aloo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mshamba ni wewe … US set the standard for the world.. you know how stupid you look trying to talk down the USA while using a device invented in the US , using the internet invented in the US while bragging about projects like electrified rail, invented in the US and rapid mass transit also invented in the US …flying to Mwanza using aero plane invented in the US and driving a motor machine invented in the US ..put respect to the initials USA !…without America , you would be still a caveman in Tandale …🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…