Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It owned by USA not Kundustan
 
Tunajua unajifariji na light utility helicopters 🀣 🀣 🀣 πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

View attachment 3241456
I see you are another Primary school drop out … The only person posting MD500 ni wewe ( though KDF Army has many )… but for this case we are talking of MD530F …that was the original post ..big difference in capabilities… sometimes it’s important to attend at least High School for moments like this.. you realize you are wasting time and space dwelling on something that proves your illiteracy..
 
Labda watu watwambie kama wana nchi yao nyingine tofauti na Tanzania.
Leaders of nowdays wanaifanya Tz kama sio kwao vile. No nationalism at all.
Hiv mtu unafurahia nini kununua majumba na magari wakati ukienda hata kwenye kampeni za mama city Centre unakanyaga kwenye mavumbi?
Unaweka macamera sijui CCTV kuangalia watu wanaokanyaga kwenye mavumbi, Barabara hazina sidewalks na manyaya ya umeme yamezagaa...hawajui hata hayo manyaya yanaweza kublock view?

Ule mradi wa SGR tunnel pale chang'ombe mbona uko slow sana. Yaani mimi ningekuww Rais...ile sehemu ilipaswa iwe imekamilika, wako kwenye testing ya treni za mizigo, kule Dodoma kuna bandari kavu, je kuna hata crane moja kule ya kushusha mizigo iliyoandaliwa?
Ni nini mtu unafurahia kuwa kiongozi wa nchi halafu no achievement yoyote ya kimaendeleo unasema hii nimelounch na imebadili lifestyle ya watz.
Yaani kimsingi viongozi wetu wanatufanya watz wote tuonekane incompetent
 
Ndiyo mana Trump haipendi Africa na waafrica wenyewe, ameenda mbali zaidi kwamba hata mtu mweusi hamuamini kabisa, ni kwasababu ya upuuzi kama huu, watu wanajua kabisa Rais wa sasa ni incompetent lkn wakikumbuka aliyepita alikuwa smart na kuwakosesha ulaji kwa nia ya kuleta usawa katika jamii wakaona waende na huyu huyu ili upigaji wao uendelee, huu unaitwa ubinafsi wa mtu mweusi.

Mwanzoni nilikuwa simuelewi kabisa Trump ila baadaye nikagundua yupo sahihi kabisa, Africa ni upuuzi sn unaendelea, yn hatutokuja tuendelee hata iweje, na aliyesababisha hilo wala sio mzungu bali ni roho mbaya ya mtu mweusi, tuko hivyo na nafikiri tuliumbwa hivyo na haitobadilika.

Kuna scenario nyingi sn zinazoonesha udhaifu wa mama lkn wakubwa baada ya kugundua hilo wameajiri machawa kumnadi mama, yn uchawa kwa sasa ndiyo mpango mzima, mpaka mawaziri wamekuwa ndiyo machawa wa kwanza kabisa, ukitaka kuamini udhaifu wa mama jiulize kwann inatumika nguvu kubwa kumnadi ilihali hakuna upinzani wowote? Kama wewe ni CCM ukijaribu kupinga hata kidogo unafukuzwa kabisa chama na ukileta chokochoko unaweza kutolewa uhai kabisa, watu wana jambo lao.

Mama hana anachokijua kabisa wallahi, hivi sasa hata kwenye suala la ajira serikalini, taasisi karibu zote za umma zinaajiri zenyewe, sasa nini maana ya kuwepo UTUMISHI? hivi kwa huu ubinafsi uliopo hapa Africa unategemea kitatokea nn?

Ndugu zangu tushukuru Mungu alipita hayati nchi hii, la sivyo hata haya maendeleo machache tuliyonayo tusingeyapata kabisa, na kiukweli yanawapa wakati mgumu sn kumaliza, so wameapa kutorudia kosa.
 
Sgr from dar to Mwanza ni game changer lakin najua wapo wahujumu hii reli ikikamilika gharama kwa wale walaji na macampuni fulani ya mabasi ambayo pia ina wabunge question mark ???????????

Watu wanakopa kwenye vikoba huko lakin amna kinachoendelea.
 
Haya ndio mazao ambayo viongozi wetu wliyapanda.

Bunge ni sehem nyeti sanaa tusitangulize usawa wa kijinsia kwa kujaza watu ambao awana uwezo.

Me ungekua uongozi wangu uwezi ingia bungeni kama wewe auna degree, uwezi kuwa waziri kama auna degree mbili na kusomea kitu husika sio unaweka mtu wizara ya afya mtu alisomea ualimu unategemea nini.

Huu mtundo wa kujaza watu wajinga kwenye lile jenge pale dom matekeo ndio haya.

Tunahitaji watu wa ngazi za juu wawe na uelewa mkubwa pia kuwe na ushindani. Kuanzia Raisi adi madiwani na wenyeviti.
 
Tunategemea dotto magari badae na yeye awe mbunge na wakina baba levo,mwijaku.
Guys this is terrible.
Watu ambao awapendi na kuiponda elimu naona ndio wapo pale mbele 😑🀬
 
tuendelee kushangilia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
na ukiskia wanaoshangilia na kusifia ni wale wanaonufaika na pesa umma
Mm nakuambia hii nchi kama siyo Magufuli kupita hata hii battle ilikuwa imeisha asubuhi na mapema kabisa, tujiulize zaidi ya 90% ya miradi tunayotamba nayo humu ilianzishwa na nani? Miradi hii pasipo kupita hayati nakuhakikishia ingeendelea kubaki kwenye makaratasi mpaka kiyama, tujiulize wamepita maraisi wangapi na bado wakawa hawana uthubutu wa kufanya miradi ya kimapinduzi kama hii ya sasa?

Sikatai kwamba kila Rais alifanya kazi yake, lkn ukweli usemwe maraisi wote ukiacha Nyerere walifanya yaleyale aliyoyafanya Nyerere enzi zile hana uwezo wa kufanya miradi mikubwa iliyo kwenye makaratasi, tena kuna miradi alifanya Nyerere enzi zile hawa waliofuata walishindwa kabisa, Nyerere alijenga mabwawa ya umeme hakuna raisi alithubutu kujenga bwawa, Nyerere alijenga reli, hakuna raisi alithubutu kujenga reli, Nyerere alitoa elimu bure hakuna raisi alithubutu kutoa elimu bure, hiyo ni miradi inayohitaji uthubutu, lkn viongozi waliofuata walishindwa kabisa japo kuthubutu zaidi ya kufanya miradi ambayo hata paka angekuwa raisi angefanya tu.

Hawa maraisi waliofuata bila kuwakosea heshima walichangia sn kuwa na ka GDP kama haka mpaka leo licha ya kuwa na kila aina ya resources ambazo zingetupeleka mbali sn nchi hii. Itoshe kusema nchi hii kuna upuuzi mwingi sn unaendelea kwa kivuli cha amani yetu.
 
Civilian Helcopters πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ MD530F is one of series of MD500. Unajua maana ya Series?
 
2.5 its only kibera bro na hio ni previous data sasa hvi wanaesa fika mpaka 3m only kibera achilia other slums like makuru kayaba, makuru kwa njenga, korogocho, mathare, kisumu ndogo, umoja,kariobangi etc
Kwa sasa unaambiwa slum dwellers wameanza kujenga kule Karen, kama mbwai mbwai, slum zipo mpaka ikulu zitakosaje Karen kusipo hata na lami baadhi ya sehemu.
 
I think hata mimi naweza nika venture kwenye real estate business in kenya given kenyans appetite for mabati housing i can make good money on unit rentals 😁
Kukaa kwenye apartment kwa wakenya ni sifa uku bongo kila mtu yupo na kiwanja chake anajenga full stop haya mambo ya estate 🏑 tulisha malizana nao mbona
 
waswahili wanasema ukiona unasifiwa sana basi jitathmini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

na wale wote wanaosifia ni wale wenye mirija ya kuchota pesa na ufisadi yani tumerudi enzi zilee za kujiita unanijua mm ni naniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

waziri wa fedha maendeleo alioyafanya nchi hii ninkuongeza madeni kutoka 47 trillion to 100trillion june 2024 na kulazmisha kueka sign yake kwenye noti

sasa hvi ukiskia private sector zinafanya miradi basi ujue nyumba yao kuna mafisadi papa wa nchi hii wamewekeza pesa zao, juzi nimeskia tumenunua bamburi cement ya kenya ila ukienda kuchungulia vzr kuna watu wamenunua kwa jina la private sector πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

sisi kazi yetu ni kushangilia na kusherekea tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…