Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
sasa hizo ni floodlights?From hakuna floodlights to hakuna mechi za usiku to hiyo ni international match? π€£ π€£ π€£ Next utasema unataka kuona rocket ikiland kwa stadium usiku. π€£ π€£ π€£
Kunyaland ni takataka haina standards za kuhost mtu yeyote international halafu kasongo ndio alikua anawapanga eti angehost Grammy awards π π π meanwhile kumhost tu celebrity mmoja tu hamuwezi ndio mhost an entire Hollywood industry?The fact that he performed in Kenya before, means hio ni shida ya the current event organizer.
Mbona hizo numba ni za kawaida tu you can find them even in mbagala Dar es salaam. Au we unaona u special gani hapo wa kulinganisha na ile most expensive house in the region. Eti kwanye haka kajumba unaona u special upi.? π€£π€£ππΎEbu linganisha hizo nyumba na kile kibanda kinauzwa Ksh10M pale Vumbistan ππ
Halafu unakuta Kuna vijana wajinga wasio na exposure wanafananisha nchi ya ufukara ya Kunya na South Africa. Kunya inazalisha hardly MW2500.Matumizi ya umeme wao ni mara 13 ya mahitaji yetu!
π€£π€£
Hapana, ni oil lamps.sasa hizo ni floodlights?
Wacha kufikiria kama bodaboda,Umeme unatoka Ethiopia Wacha ujinga
Majokers π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ameniwekea picha za mchana na taa mbovu zisizotumika.
Nipo nasubiria alete Night game
Haya mataa Manara huwa anayaita machemli π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Punguza ushmba na kiherehere. Penye tulikua 25 years ago ndio munajaribu kufika sahii.
Watakwambia hiyo ni moja ya sababu ya umaskini wao.
Ni ku offest tu kama hata ethiopia wana surplus maana GERD itazalisha 5GW , na bado hata haijafika hyo capacity ,SA unakuta wanahitaji hata 10-20GWUmeme unatoka Ethiopia Wacha ujinga
Hawa jamaa bado ni mafala sana. Ndio maana Raila alibwagwa chini AUC wakabaki wanashangaa imekuwajeππUmeelewa swali. Games played in Night.
Kwani wakati Timu yenu inazurura malawi na Uganda uwanja ulikua wapi?