ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wanaopinga credits Kwa Samia ni nye Wafuasi wa Mwendazake mkiongizwa na ichoboy01 na The best 007Kwa hiyo Magu kumalizia kujenga miradi iliyosua sua kwenye 2 - 10% hapati credit ila Samia akimalizia miradi iliyofika 30-70% anapata credit, huu ndo ujuha sasa.
nchi ya kutegemea remittance lazma utokwe povu!Approximately is not exactly. Your exact figures were $3.6B.
Embu funguka zaidi hapo, washindi wa nini?Wanaopinga credits Kwa Samia ni nye Wafuasi wa Mwendazake mkiongizwa na ichoboy01 na The best 007
Mnasahau kwamba historia inaandikwa na washindi ππ
Waliokamilisha jambo au mission ndio wanaandika historia na sio waasisi.Embu funguka zaidi hapo, washindi wa nini?
Ni mission gani hiyo, funguka?Waliokamilisha jambo au mission ndio wanaandika historia na sio waasisi.
Mfano hii hapa π πNi mission gani hiyo, funguka?
Kwanza gari za IT tu hapo dar port ni nyingi mno,juzi kati niliona kuna IT hadi za zimbabwe,kwa siku kimara gari za IT uwa zinapita zaidi ya 100,zambia,malawi,zimbabwe,congo,rwanda na burundi hawa wote wanatumia dar port kwa 70%,kunyan data zao za kupikwa ni kama wanajitia finger wenyewe na kunusaWanapika Data sana hao. Kwanza walisubiri waone figure za Tanzania. Ila ukweli wanaujua wenyew.
Hata Data za Mombasa port sio za kweli. Dar ukiangalia kwenye ships in port and expected ships. Dar port huwa ina ships nyingi na busier kuliko Mombasa siku zote. Lakin wakitoa Data wanasema wahudumia tani sijui ngap huko. Ni waongo waongo tu. Tushawazoea
Mombasa hakuna sehemu nyingine zaidi ya hii? Maana picha inarudiwa since 2017 mpaka leo picha ni hiyo hiyo moja, ukitoka hapo unaweka zile ghorofa za udongo na banduli mtambo kwisha habari.Mombasa
Umepata pumzi ya kuhepa πππMpo zaidi ya million Myanmar mnasubiri mnunuzi πππ
View: https://x.com/ntvkenya/status/1896458848455524452?t=OkSUzqpTw-c3S9V0jDizVQ&s=19
Yet your biggest source of foreign exchange which is tourism is equal to revenue Tourism ya Kenyanchi ya kutegemea remittance lazma utokwe povu!
You chickened out.Mfano hii hapa π π
View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1896494311640011140?t=32H13jDnBf9a8q1vzExl4w&s=19
Hii ni mission ya kuhakikisha by 2034 about 80% of you Tanzanians mnatumia clean energy
Seem mimba waliyokupa JWTZ si ya mchezo mchezo.
Siku magufuli anazindua ujenzi wa mfugale flyover 2016 nilikuepo na wakati ujenzi umekamilika nilikuepo na kijazi flyover pia nilikuepo hakukuwa na ujenzi wowote wa flyover pale tazara kabla ya awamu ya tanoMfugale ujenzi ulianza mwaka 2015 mwisho mwa Jakaya Kwa hela za JAICA so sio Magu.
Sawa kijazi ila njia 8 amemaliza Samia sawa na Magufuli stendi π€£π€£