Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 20,648
- 17,772
Walipigwa vita wakakimbilia Rwanda😂😂Kumbe M23 rebels walishapiga 'strongest army in the region' kule DRC kama burukenge!? 🤣🤣🤣🤣
I had no idea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walipigwa vita wakakimbilia Rwanda😂😂Kumbe M23 rebels walishapiga 'strongest army in the region' kule DRC kama burukenge!? 🤣🤣🤣🤣
I had no idea
Na kashindwa kumaliza hiyo Barabara. Service lane nyingi hazijaisha hadi leo. Njia za kati zimeachwa tu, wameweka mataa sehemu tu. Watu wanateseka sana kuvuka hiyo BarabaraAmerica, huh! Give credit where it's due. Just a reminder, it wasn't 'ya mama who built it.
Wewe watchman Mombasa isikukoseshe usingizi bure. Hakuna mji wa kulinganisha na Mombasa hapo Tanganyika ukitoa Dar is slumMombasa hakuna sehemu nyingine zaidi ya hii? Maana picha inarudiwa since 2017 mpaka leo picha ni hiyo hiyo moja, ukitoka hapo unaweka zile ghorofa za udongo na banduli mtambo kwisha habari.
Watanzania hizi ni aibu gani? Ona vile general wa jeshi lenu anafanyiwa madharau kule DRC😂😂😂.
Now i understand why they were afraid of going to Somalia and Mozambique to fight the Alshabaab.
View: https://x.com/mugabobob/status/1896206346556739585
maamuzi magumu sana ya mwamba 🙌🏻![]()
29.749 Aufrufe · 9.059 Reaktionen | Jana nilipotembelea Ikulu yetu mpya Chamwino🇹🇿🥰 #Kiapo | Peter Msechu
Jana nilipotembelea Ikulu yetu mpya Chamwino🇹🇿🥰 #Kiapo.www.facebook.com
tazama hzo modern buildings kondoo wewe😂Watu wamejenga TAKATAKA tupu.
Na maumbwa zinaLIKE hii upuzi😂
bora hata ww uliona kwa macho mm nilishuhudia na viungo vyote vya mwili 😂😂😂Hii niliona maeneo ya Mombo,Korogwe jumapili ile ya 23/02
You and Chamoto have credibility in most cases … but do you realize one of your post likes was Best 007… 🤣🤣… yet hes the number 1 sycophant of CCM .. extremist Ujamaa Youthwinger…😄😄what do you mean by saying bongo is in denial? Most of us here do not condone CHAWAISM....Not at all except few idiots in here which i;ve dumped in my ignore bin.
Hater ichoboy01 anajisahulisha 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DGu31oZtC_M/?igsh=MW56MHNzNXY1dzdjbw==
it is called branding!I bet you anything , Alaska 007 has at least 7 pairs of these …😂😂
View attachment 3257793
yani yeye anataka ile legacy alioiacha mwamba ife wakat miradi mikubwa kwenye nchii hvi sasa yote ni ya yule yule mwamb mwenye maamuzi magumu😂😂Kwa hiyo Magu kumalizia kujenga miradi iliyosua sua kwenye 2 - 10% hapati credit ila Samia akimalizia miradi iliyofika 30-70% anapata credit, huu ndo ujuha sasa.
Hata hiyo $3.6 naishuku sana.Tanzanian tourism receipt was $3.6B according to your government. Hao Africa Facts Zone wametoa data zao wapi? Hiyo $4B wametoa wapi? Ya Kenya is correct at $3.5B
hzo picha nzuri nzuri munazitoa nyali na nyali inabebwa na hotels and appartmentWewe watchman Mombasa isikukoseshe usingizi bure. Hakuna mji wa kulinganisha na Mombasa hapo Tanganyika ukitoa Dar is slumView attachment 3257674View attachment 3257675View attachment 3257676View attachment 3257677View attachment 3257678View attachment 3257686View attachment 3257687View attachment 3257689View attachment 3257691View attachment 3257692View attachment 3257693
same mombasa before some lisptics and eye shadow 😂😂😂😂Wewe watchman Mombasa isikukoseshe usingizi bure. Hakuna mji wa kulinganisha na Mombasa hapo Tanganyika ukitoa Dar is slumView attachment 3257674View attachment 3257675View attachment 3257676View attachment 3257677View attachment 3257678View attachment 3257686View attachment 3257687View attachment 3257689View attachment 3257691View attachment 3257692View attachment 3257693