Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mpeka pembeni ya moi airprort kumejaa slums kulia kushoto mbele na nyuma 😂😂
IMG_4918.png
 
Somalia is now safe thanks to KDF. Who would think that KDF will defeat a militia that overwhelmed USA in 2002?

Who knew Kismayu will be taken over by KDF? Who knew KDF will make a federal state inside Somalia with the President selected by Kenyan leaders?

Now tell us how your army wamelemewa pale KDF wanatoroka mbio.


View: https://youtu.be/sBb-Oq3gzrk?si=xy38s6StKki-NF95

Safe ya Nyoko.

Jeshi gani ambalo lilifanya mkose EACOP kwa security Issues, LAPSSET nao kuzima kwa Security Issues.

Yaani Jeshi haliwezi linda hata mipaka yake nchi inakua hatari hadi investors wakimbie uje kutupigia kelele.

Alafu Somalia ni UPDF ya Uganda ndio inapaswa kupewa credit nyie kenge wa sifa hamna kitu.


Kwanza Mkandarasi anaanzaje kuvaa bulletproof mbele ya Amir Jeshi mkuu kama jeshi linaeleweka? Imagine

1000037252.jpg
 
Hawa watu huwa na delusions of grandeur sana. Kisa walisaidiana kutoa a very weak dictator in Uganda assisted by England and Ugandan rebels.
Yani hawa watu wanakuanga hovyo sana. Wanaongelea Kagera war vita ya mapanga na mkuki, yani stone age war. Modern war hawawezi, ndio maana waliogopa na wakakataa kabisa kupeleka wanajeshi Somalia, wakakataa pia kupeleka wanajeshi Mozambique. Ni kama kimpanho wanajua jeshi lao ni dhaifu and that’s why hawataki to expose them. Kitu iliwadanganya waende DRC wakakutana na aibu gunia mzima😂😂
 
Kwani wale waliuawa Juzi hawakuwa your weak army? Wale wenye waliinua white flag si walikuwa watanzania? Yani mnapigwa hadi muinue bendera nyeupe?😂
Better uwe na ushahidi wa kuback up kijana kama hivi.

1000037252.jpg



Imagine mbele ya Raisi mtu hataki mzaha na maisha yake kisa Jeshi ovyo lililoshinda kulinda nchi hadi kutokua salama
 
Jeshi gani ambalo lilifanya mkose EACOP kwa security Issues, LAPSSET nao kuzima kwa Security Issues.
Tulikosa EACOP because of land issues na sio insecurity, mbona mnapenda kudanganywa? LAPSSET is ongoing well, nyinyi wenye hamna security issues mbona msijenge barabara ya Bagamoyo ?
Yaani Jeshi haliwezi linda hata mipaka yake nchi inakua hatari hadi investors wakimbie uje kutupigia kelele.
We are safe thanks to KDF. When last did you hear Al Shaabab bombed Nairobi or Mombasa? It’s more than 10yrs now.
Alafu Somalia ni UPDF ya Uganda ndio inapaswa kupewa credit nyie kenge wa sifa hamna kitu.
Kwa lipi? Siku tulichukua Kismayu UPDF ilikuwa hapo? Siku ya Afmadhow UPDF walikuwa hapi? UPDF wanauliwe kule Mogadishu kila siku kama mende. When last did you hear terrorism activity at Jubaland? Area controlled by KDF?
Kwanza Mkandarasi anaanzaje kufaa bulletproof mbele ya Amir Jeshi mkuu kama jeshi linaeleweka? Imagine
General wa jeshi lenu amekaguliwa pale Rwanda kama mwizi, yani hiyo aibu wewe huoni?😂😂😂
 
Better uwe na ushahidi wa kuback up kijana kama hivi.

View attachment 3257893


Imagine mbele ya Raisi mtu hataki mzaha na maisha yake kisa Jeshi ovyo lililoshinda kulinda nchi hadi kutokua salama
Mbona watu wengine hawana bullet proofs? Ama unataka kuniambia hao watu are more important kuliko president wetu? Kama indeed hapo ni insecure then Ruto plus othef officials pia wangekuwa na bullet proofs? Anyway i don’t blame you cause agenda yako has to agend.
 
hzi pikipiki niliskia wapewa watendaji wa chama hasa wenyekiti wa mitaa kwa ajili ya kuongeza idadi ya wanachama ndani ya CCM na onyo likatoka kabisa zisitumike kinyume na makusudio 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻


View: https://youtu.be/o8Ga0ntmnCQ?si=We4UVu76LXD2pPkE




ila nastaajabu zinabebwa vichwa mitaani
ChoiceVariable nilikwambia mitungi zilizogaiwa bure ziko mitaani zinauzwa huku😂

watu hawataki mutungi watu wanataka kuskia bei ya umeme imeshuka na bei ya gas imeshuka ili waeze kumudu bei ya bidhaa hzo

IMG_4890.jpeg
IMG_4891.jpeg
 
Back
Top Bottom