Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lumumba Estate 2348 units

Affordable Housing Program - Boma Yangu


Image

View: https://www.instagram.com/p/DGxyNMZtIyO/?igsh=bWc3YjVxOTdlM3Bx
 
Wewe ni fala nini.? Unanichukuliaje.? Nyumba elfu 4 unazijua.? Au unaropoka tu.? 🤣🤣🤣. Yani tena umekaza fuvu.? Project si ndio hii 👇🏾View attachment 3259168View attachment 3259169Hiki ni kijiji mzee sio jiji. Hakuna jiji linakaa hivi. 🤣🤣🤣
Hebu muulize ule mradi wa Ruto umefikia wapi? badala ya units 100,000 wame-scale down kuwa less than 1000 units!
 
Ndinga ni Sheng? Wewe ni kilaza, wakenya mnachelewaga kusikia hizi slangs za Tanzania halafu zikifika kwenu late mnaona kama ninyi ndio mmezianzisha, kama saivi Kunyaland huko mnaitana mkuu mkuu lakini hilo neno limeanzia humu humu JF long time ago, lakini mkenya aliopo kariobangi anafikiri ni Sheng hiyo, hata mdau etc hamnaga akili ninyi.
Kenyans used the word Dinga in sheng enzi zile, after tumeiacha ndio mnaichukua mnaigeuza ndinga. Sikuizi we say Ndai or MOTi. Ngoja tuachane na hizo tena mzichukue mseme sii sheng.
 
And you believed? Ebu tuonyeshe anybody else talking about it tofauti with that fat idiot. The guy always demonize everything in Kenya. The way I know Kenyans, SGR can’t move a speed of 16km/h na wakose kupiga kelele. Kitu Kama hiyo ingefanyika saa SGR ingekuwa inatrend pale X.


Anyway I know most of you are idiots and will believe anything.
Hata ikistall, it will be the first time since it was launched 8 years ago. Yao haijamaliza mwaka na imestall mara ngapi?
 
Hata ule wa kigamboni alizingua kuusimamisha, ni mradi mzuri japo kulikuwa na upigaji wa kufa mtu, yeye angeacha uendelee lkn ukiwa chini ya usimamizi mkubwa.
Yaa kweli maana kuusimisha ilikuwa ni hasara harafu angewakamata wahusika wangerudisha pesa kama wengine hivi ule si Dau ndo alipiga dili?
 
Back
Top Bottom