much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
MtanzaniaMtanzania ama mwarabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MtanzaniaMtanzania ama mwarabu?
Ushaanza kumwaga puvu na Kazi bado 🤣🤣🤣. Blue print ya hio Anderson project ndio hii hapa, 11 blocks 15 floors each, hii Imeshinda Mwanza na Arusha combined.
View attachment 3259434
Haya ndo Yale maghorofa yanayojengwa Kwa tope?Yaani ni kitu kibaya sana dogo, na pia ukiongezea kukua boya, kilaza, akili ku duaa.,n k., ni mbaya sana!!.,
Pollyview Estate Kisumu
View attachment 3258498
Sawa zombie of kiberaUshamaliza, inadhihirika kwa uandishi wako, yaani tayari wewe ni lizombie🤣🤣🤣🤣🤣 root cause ni fikra.., the way you reason, u are indeed a zombie🤣🤣🤣.,
JPM alikosea kuusimisha huu mradi kama kulikuwa na wizi ilitakiwa awatapishe Wezi fedha mradi uendeleeKama render ingekuwa Kenya ungeona uharo
Hata ule wa kigamboni alizingua kuusimamisha, ni mradi mzuri japo kulikuwa na upigaji wa kufa mtu, yeye angeacha uendelee lkn ukiwa chini ya usimamizi mkubwa.JPM alikosea kuusimisha huu mradi kama kulikuwa na wizi ilitakiwa awatapishe Wezi fedha mradi uendelee
Hebu muulize ule mradi wa Ruto umefikia wapi? badala ya units 100,000 wame-scale down kuwa less than 1000 units!Wewe ni fala nini.? Unanichukuliaje.? Nyumba elfu 4 unazijua.? Au unaropoka tu.? 🤣🤣🤣. Yani tena umekaza fuvu.? Project si ndio hii 👇🏾View attachment 3259168View attachment 3259169Hiki ni kijiji mzee sio jiji. Hakuna jiji linakaa hivi. 🤣🤣🤣
Kenyans used the word Dinga in sheng enzi zile, after tumeiacha ndio mnaichukua mnaigeuza ndinga. Sikuizi we say Ndai or MOTi. Ngoja tuachane na hizo tena mzichukue mseme sii sheng.Ndinga ni Sheng? Wewe ni kilaza, wakenya mnachelewaga kusikia hizi slangs za Tanzania halafu zikifika kwenu late mnaona kama ninyi ndio mmezianzisha, kama saivi Kunyaland huko mnaitana mkuu mkuu lakini hilo neno limeanzia humu humu JF long time ago, lakini mkenya aliopo kariobangi anafikiri ni Sheng hiyo, hata mdau etc hamnaga akili ninyi.
Hata ikistall, it will be the first time since it was launched 8 years ago. Yao haijamaliza mwaka na imestall mara ngapi?And you believed? Ebu tuonyeshe anybody else talking about it tofauti with that fat idiot. The guy always demonize everything in Kenya. The way I know Kenyans, SGR can’t move a speed of 16km/h na wakose kupiga kelele. Kitu Kama hiyo ingefanyika saa SGR ingekuwa inatrend pale X.
Anyway I know most of you are idiots and will believe anything.
Wewe umeona CBD zenyewe za Mwanza vile zimekaa? 🤣🤣Kisumu is bigger than Mwanza. CBD isikudanganganye.
Nyeri ina-organize international events zipi?Wewe umeona CBD zenyewe za Mwanza vile zimekaa? 🤣🤣
Moshi is the size of Nyeri. Mtu asikudanganye.
Yaa kweli maana kuusimisha ilikuwa ni hasara harafu angewakamata wahusika wangerudisha pesa kama wengine hivi ule si Dau ndo alipiga dili?Hata ule wa kigamboni alizingua kuusimamisha, ni mradi mzuri japo kulikuwa na upigaji wa kufa mtu, yeye angeacha uendelee lkn ukiwa chini ya usimamizi mkubwa.