Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,293
- 5,163
Upumbavu mkubwa sana, mtu kabakiza mwezi mmoja wa mkataba waziri ndio anastuka? Hawa unaona kabisa hawana vifaa, wanasubiri SinoHydro amalize ndio awape vifaa vyake wapige margin ya kutosha. Kuwapa Wachina hii miradi lilikuwa ni kosa namba moja, hata quality tu ya kazi ni matatizo.