Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,293
- 5,163
Upumbavu mkubwa sana, mtu kabakiza mwezi mmoja wa mkataba waziri ndio anastuka? Hawa unaona kabisa hawana vifaa, wanasubiri SinoHydro amalize ndio awape vifaa vyake wapige margin ya kutosha. Kuwapa Wachina hii miradi lilikuwa ni kosa namba moja, hata quality tu ya kazi ni matatizo.
πππππππ aiseee ni hatari na nusu
Utajuaje labda ndio wamemlipa mkandarasi! So wamepata rights za kufoka ambazo hawakuwa nazo mwanzo!Upumbavu mkubwa sana, mtu kabakiza mwezi mmoja wa mkataba waziri ndio anastuka? Hawa unaona kabisa hawana vifaa, wanasubiri SinoHydro amalize ndio awape vifaa vyake wapige margin ya kutosha. Kuwapa Wachina hii miradi lilikuwa ni kosa namba moja, hata quality tu ya kazi ni matatizo.
Astaghafulilah.. usxhwetaaan!
Sikuona sababu ya kutowapa strabag phase zilizofuatia maana ile phase waliitendea haki,almost 10 years ile barabara na vituo vyake vipo vile vile,nani sijui alishauri waje wachina!Upumbavu mkubwa sana, mtu kabakiza mwezi mmoja wa mkataba waziri ndio anastuka? Hawa unaona kabisa hawana vifaa, wanasubiri SinoHydro amalize ndio awape vifaa vyake wapige margin ya kutosha. Kuwapa Wachina hii miradi lilikuwa ni kosa namba moja, hata quality tu ya kazi ni matatizo.
Na nn kiliwafanya wakimbie in the first place? Waambie walete hizo fedha na waisondoke hata wakifilisika!We are conquering you na unaona ni sifa kwenu.
Dah Hii inauma sio poa.Courtesy of Bamburi cement that is 100% owned by Tanzanian!
Hiyo ISUZU N-Series ndio mnachongea Mabus yenu.Alafu kuna fala atakuja kukuambia ati Probox ndio inauzika Kenya sana. For your information, Probox is not even in top 10.
View: https://x.com/Kalasinga_/status/1896979305076609110
Mind u Bamburi cement is the only supplier of all the cement and aggregate/batch products for Talanta stadium!Dah Hii inauma sio poa.
Sio hearsay wala maneno ya kujitungia ni 100% fact.
Inauma.
Now thatβs the colonization. π€£π€£ we colonize these little asses.Mind u Bamburi cement is the only supplier of all the cement and aggregate/batch products for Talanta stadium!
Mwambie, Yaani mpaka leo sijaelewa MK254, mwaswast Jaywatt, Frank Wanjiru Kafrican, Tony254Walikuwepo wabishi kuliko hawa na wote walitii sembuse hawa kondoo. πππ
Since i told them of that reality, they have become too small!! Mind u a significant amount of that chinese PPP money around 50% is going to a Tanzanian!Now thatβs the colonization. π€£π€£ we colonize these little asses.
kaka watu wa 10% zao kwenye miradi kqzi yao ni kuwapa watu pesa wasifie kwa niaba zao πππππUpumbavu mkubwa sana, mtu kabakiza mwezi mmoja wa mkataba waziri ndio anastuka? Hawa unaona kabisa hawana vifaa, wanasubiri SinoHydro amalize ndio awape vifaa vyake wapige margin ya kutosha. Kuwapa Wachina hii miradi lilikuwa ni kosa namba moja, hata quality tu ya kazi ni matatizo.
ππππππ nastaajabu sana kwakweliUchaguzi wanacheza na akili za watu kazi ni kusifia wanakumbuka shuka kumekucha
na ww leo ndio wajua ni ushetwaani ππAstaghafulilah.. usxhwetaaan!
Hujiulizia ubishi wa Kisumu Airport abiria over 800k.Yaani hawa kundurenda hawakubali kushindwa hata kama wanafahamu wamekosea ukitaka kuwafaham wambie waweke humu standing zao za mabasi watakwambia wanazo ila picha hawana
wachina sio shida bro shida ni wale watu wa 10% hao ndio shida mkuu na wanawachagua wachina coz inakua rahisi kupata 10% zao tofaut na wazunguππSikuona sababu ya kutowapa strabag phase zilizofuatia maana ile phase waliitendea haki,almost 10 years ile barabara na vituo vyake vipo vile vile,nani sijui alishauri waje wachina!