Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aliskika mVumbistan akisema hapo pa VIP (vitu vyekundu) hapatowekwa viti.
PXL_20250310_111527495.jpg
 
Hakuna nchi yeyote in East and Central Africa with drone laser guided missile technology except Kenya … outside of that only Nigeria and South Africa have similar in sub Saharan Africa. ..and Kenya has more drones than Nigeria. ..now you know..
And you know KENYA ni nchi pekee inayojigamba na show off nyingi ila wanatobolewa na Bandits imagine.

Yaani nchi Northern Kenya usalama mdogo kwa jeshi bovu kushindwa shughulikia watu kama hawa upo unaleta adjectives?

1741610118404.jpeg
 
Hoja dhaifu sijapata kuona yani inawezekanaaje umeme utoke Ethiopia km zaidi ya 2000 bila kupotea kwa kiwango kikubwa kuliko unaotoka chalinze kama km700 tuu.

View: https://www.instagram.com/p/DG_IGt6qoaq/?img_index=1&igsh=a3JjbDkyY3RubnVt

Hao kenge wana matatizo sana.

Muda huo huo kuna umeme wameunganishia Kenya unatoka Tanzania.

Kwanini hawawazi kupanua Nyumba ya Mungu, Hale Dam?

Au kujenga Hydropower.

Maana ukiangalia Reservoir ya Nyumba ya Mungu ni.kubwa sana. Same kwa mtera.

Kuna watu akili.zimepinga.

Imagine kuna Mpango.wa kuuzia Zambia Umeme na wewe unadai kuna upotevu.

Si wajenge VITUO VYA.KUPOOZA UMEME sasa?
 
Bado umeme hautatosha itatubidi tujenge jhhp nyingine kama mbili tuwe salama kwa walau miaka 20 ijayo
Yeah very true, kila mwaka tunaongeza matumizi kwa zaidi ya 30 percent, SGR yote tu ikikamilika inahitaji megawatts 2500 peke yake kuwa full operational sababu itatumia umeme wetu mpaka DRC
 
Hizo numbers umetoa wapi Mr. Primary school dropout? The last time I checked bongoslum has one operational 400KV line, yani hata Dar is a slum is not connected to a 400KV line. 🤣 🤣 🤣 In Kenya all our cities are already connected to a 400KV line. Alafu the last time I checked Kenya ikona parastatal tofauti ya kufanya high voltage transmission, bongoslum kila kitu mumewachia TANESCO, no-wonder bado mko nyuma.
Em nipe statistics za 400kv transmission yenu nikupe ya kwetu sababu ninayo hapa
 
I've said it here and I'll say it again and again. Kenya should leave the EAC. We are literally the ones keeping this bogus union standing, we contribute the most money and we always pay on time. Meanwhile, the country that benefits the most from it acts as if they don't even want to be there and always buttlicking SADC. Let's just close it like we did in 1977 and get over with it.
Si muondoke kaanzisheni COW nyingine.

Hope kipindi hiki mtafanikiwa.

Kwaheri
 
Sasa nyinyi. Kama mmeweza kujenga bwawa la Nyerere 2115MW. Mnashindwa nini mkajenga upya hiz transmission line?

Wananchi wanasema hawana serikali yenye maono.
Kimsingi jana Serikali omepuyanga sana. Watanzania wanataka nchi yao iwe independent kwenye energy. Sasa zile MW zote zitabaki tu bila matumizi kisa tu hamwezi jenga transmission lines?
Nashauri iachane na mpango huo. Ijipange kuboresha miundombinu mdogo mdogo.
Watanzania wengi jana wamekatishwa Támaa na ile hotuba.
Yaani upumbavu tu.

Siku hizi ni MWEKEZAJI, PPP, etc yaani wanataka kila tatizo likiibuka wataufute mwingine wa kulitatua na sio wao na wa kulitatua ale fresh tu.

Akili gani hiyo, kwamba miundombinu chakavu huku wanapeleka Hadi Zambia?

Kwa hiyo hakuna mpango wa kukatrabati miundombinu?

Kama ni umbali Jenga Substation kila wilaya na Station kubwa ya Mkoa. Kuwa na Voltage Regulation, Load Balancing.

Hao Kenge ndio walisema mitambo kwa miaka 6 ilikua inamuogopa Magufuli hivyo umeme haukukatika kipindi chake, ila alipokufa ndio mitambo iliacha kuogopa leo ndio inasumbua.

Imagine hata Dar Transformers tu zinawasumbua nenda rudi.nenda rudi.
 
Hivi kwa nini tusikae chini na mrusi, tukapiga kinu kimoja cha nuclear cha 10000MW hiki ni kidogo sana kwa technology waliokuwa nayo. Hapa tuna uhakika wa umeme hata miaka 30 ijayo.
Halafu mtu akiachika uko akafungulie bomba mtaan kwetu tufweee
 
Nyie jamaa hatufiki popote ikiwa kila tatizo solution ni kutafuta wale ambao waliamua kudeal na vyao kiakili hadi kufanikiwa wanakuja kwako failure kupiga pesa.

Mashirika ya Serikali tuliua tupo busy kuomba mashirika ya Serikali zingine yaje tena kina CCECC, CRBG za wachina ndio TANROAD na TARURA hizo.

DUBAI PORT WORLD (DP WORLD) ndio hao TPA wa DUBAI hao.


Hebu kaeni chini fikiria nchi zote zilizoendelea na zinazoendelea kuna kitu or vitu vilivyowafanya wapige hatua ambavyo hawataki nchi nyingine iwe na maamuzi navyo kamwe maana wanajua wakiachia nchi nyingine hakuna maendeleo.

SAUDI ARABIA piga ua iliamua MAFUTA yatakua ya SAUDI under Government ownership now wana SAUDI ARAMCO Largest company in the World.

Unadhani SAUDI ARAMCO ingekua Africa ingekua Largest? Why?

China ilifanya State Owned Corporation kuwa World Largest companies (China Railway, CCECC, NORINCO, AVIC, CRBG, HUAWEI, CHINA MOBILE, SINOPEC, CNOOC, COSCO SHIPPING, ICBC BANK, CHINA STATE GRID (TANESCO YETU)) kupitia hayo makampuni China imeweza kuwa na ripple effects ya uchumi.

Jiulize CCECC anajenga Barabara lami anaitoa China pengine kutoka kampuni binafsi or SINOPEC, nguo za wafanyakazi, Taa za Barabarani, Nondo, kwa kuwa wana design maalumu ambazo materials huwezi zipata Africa inabidi waship huko kwao hivyo ajira na viwanda vinapuka kusapoti demands, imagine ni viwanda vingapi vinasupply HUAWEI components? Bado kuna viwanda vya SANY, HOWO, FAW, XCMG, LIU GONG kwa hao CCECC.

Tupunguze ujinga.

Muda huu upo unawaza eti umeme kupeleka 500km ni gharama kuliko kuvuta 2,000km. Na wewe unategemewa na nchi na upo unasema mitambo mibovu?

TANESCO haiendi popote, Mwendokasi haiendi popote, TPA haiendi popote, Air Tanzania haiendi popote ikiwa akili iliyopo ndio hiyo kukitokea tatizo ni kuachia "MWEKEZAJI" ambaye alianza kama wewe amefika huku kuchukua uliposhindwa

Nyie endeleeni kusifia ila I tell you we are fucked 🤣🤣🤣🤣
 
1000032262.jpg



Dah niache sasa kujifanya naipenda hii nchi. Mwenye idea jinsi ya kuanza kusifia tafadhali.

Nile mema ya nchi mambo ya kuiwazia nchi future mpaka unapata hasira naona nitakufa siku si zangu kwani shilling ngapi vilee?

Mwenye Idea ya kusifia tafadhali.

Nipi tayari kusikiliza

1000040781.jpg
 
I've said it here and I'll say it again and again. Kenya should leave the EAC. We are literally the ones keeping this bogus union standing, we contribute the most money and we always pay on time. Meanwhile, the country that benefits the most from it acts as if they don't even want to be there and always buttlicking SADC. Let's just close it like we did in 1977 and get over with it.
You can't handle your domestic bills unaongea ujinga.

Tokeni!
 
Back
Top Bottom