Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kitu kinacholeweka ila changamoto hawajawapa wataalamu kutoka Tanesco watolee ufafanuzi hilo jambo, huyo msemaji katoa boko kinoma.

View: https://x.com/mativomjohn/status/1498012407452606466?s=46

View: https://x.com/japanamb_tz/status/1716713450833940927?s=46

Yeah sure, hii line inatoka Singida mpaka Namanga na umeme wa JNHPP haujafika Singida bado wala Dodoma, ndio wanajenga saivi transmission line kubwa ya 400kv kutoka Chalinze to Dodoma, bila hii line hatuwezi kuwauzia hata Burundi umeme

Screenshot_20250310-105556.jpg

 
Sasa nyinyi. Kama mmeweza kujenga bwawa la Nyerere 2115MW. Mnashindwa nini mkajenga upya hiz transmission line?

Wananchi wanasema hawana serikali yenye maono.
Kimsingi jana Serikali omepuyanga sana. Watanzania wanataka nchi yao iwe independent kwenye energy. Sasa zile MW zote zitabaki tu bila matumizi kisa tu hamwezi jenga transmission lines?
Nashauri iachane na mpango huo. Ijipange kuboresha miundombinu mdogo mdogo.
Watanzania wengi jana wamekatishwa Támaa na ile hotuba.
hii nchi sijui inaelekea wapi daaah 🙌🏻🙌🏻
 
Yani watchman alilia moderators hadi comments zangu zote zikakuwa deleted, huyu The best 007 ni bure sana😂😂.

IamLee, mwaiofhawaii zile comments za usiku tukichongoa watchman zimekuwa deleted zote😂
Jana alikipata 😂😂
I hope zile matusi zake pia zilitolewa. na Moderator the guy is crying foul while he is the biggest misuser of the platform, don’t let him mislead you. He can’t go on insulting people but when insulted, he victimizes himself, I believe being a mod, you have your means of determining that and acting as you have acted on his pleas as well,
Regards
 
Sasa nyinyi. Kama mmeweza kujenga bwawa la Nyerere 2115MW. Mnashindwa nini mkajenga upya hiz transmission line?

Wananchi wanasema hawana serikali yenye maono.
Kimsingi jana Serikali omepuyanga sana. Watanzania wanataka nchi yao iwe independent kwenye energy. Sasa zile MW zote zitabaki tu bila matumizi kisa tu hamwezi jenga transmission lines?
Nashauri iachane na mpango huo. Ijipange kuboresha miundombinu mdogo mdogo.
Watanzania wengi jana wamekatishwa Támaa na ile hotuba.
Line ipo under construction as we speak na ni mapesa mengi kujenga transmission lines za 400kv the moment miradi yote hii imeisha Tanzania itakua nafikiri ya kwanza Africa au top 3 kuwa na longest 400kv transmission line in Africa

View: https://x.com/BilikwijaT70646/status/1866538949084061820?t=vRYlamHobfc9lXruVQBbzw&s=19
 
Line ipo under construction as we speak na ni mapesa mengi kujenga transmission lines za 400kv the moment miradi yote hii imeisha Tanzania itakua nafikiri ya kwanza Africa au top 3 kuwa na longest 400kv transmission line in Africa

View: https://x.com/BilikwijaT70646/status/1866538949084061820?t=vRYlamHobfc9lXruVQBbzw&s=19

Sína shida na hiyo miradi. Sasa hiv watu wa kasikazini hawana umeme? Kwa nini tusivumilie kipindi hiki wakati ujenzi unaendelea kama tulivyofanya wakati wa Nyerere dam. Kuliko kuanzia kununua huko nje?
There must be a solution kuliko kukimbilia nje ya nchi.
NIshati na Tanesco kwa ujumla ina historia ya kukumbwa na ufisadi mkubwa kuliko sehemu yoyote ile nchi hii. Uwepo wa miradi kama hiyo inatupa mashaka
 
Sína shida na hiyo miradi. Sasa hiv watu wa kasikazini hawana umeme? Kwa nini tusivumilie kipindi hiki wakati ujenzi unaendelea kama tulivyofanya wakati wa Nyerere dam. Kuliko kuanzia kununua huko nje?
There must be a solution kuliko kukimbilia nje ya nchi.
NIshati na Tanesco kwa ujumla ina historia ya kukumbwa na ufisadi mkubwa kuliko sehemu yoyote ile nchi hii. Uwepo wa miradi kama hiyo inatupa mashaka
Sína shida na hiyo miradi. Sasa hiv watu wa kasikazini hawana umeme? Kwa nini tusivumilie kipindi hiki wakati ujenzi unaendelea kama tulivyofanya wakati wa Nyerere dam. Kuliko kuanzia kununua huko nje?
There must be a solution kuliko kukimbilia nje ya nchi.
NIshati na Tanesco kwa ujumla ina historia ya kukumbwa na ufisadi mkubwa kuliko sehemu yoyote ile nchi hii. Uwepo wa miradi kama hiyo inatupa mashaka
Sína shida na hiyo miradi. Sasa hiv watu wa kasikazini hawana umeme? Kwa nini tusivumilie kipindi hiki wakati ujenzi unaendelea kama tulivyofanya wakati wa Nyerere dam. Kuliko kuanzia kununua huko nje?
There must be a solution kuliko kukimbilia nje ya nchi.
NIshati na Tanesco kwa ujumla ina historia ya kukumbwa na ufisadi mkubwa kuliko sehemu yoyote ile nchi hii. Uwepo wa miradi kama hiyo inatupa mashaka


View: https://x.com/ej_mwita/status/1898810234245640347?s=46
 
Sína shida na hiyo miradi. Sasa hiv watu wa kasikazini hawana umeme? Kwa nini tusivumilie kipindi hiki wakati ujenzi unaendelea kama tulivyofanya wakati wa Nyerere dam. Kuliko kuanzia kununua huko nje?
There must be a solution kuliko kukimbilia nje ya nchi.
NIshati na Tanesco kwa ujumla ina historia ya kukumbwa na ufisadi mkubwa kuliko sehemu yoyote ile nchi hii. Uwepo wa miradi kama hiyo inatupa mashaka
Umeme upo lakini sio kwa standard nzuri na matumizi ya umeme yanazidi kukua on daily basis kumbuka vijiji vingi vinaunganishwa na umeme kupitia REA kuna ongezeko kubwa la makazi na vifaa vya umeme majumbani mahitaji ya umeme ni makubwa kuliko pace ya kuongeza transmission capabilities sababu usitegemee tank (transformer) la Lita 100 za maji na pipes zake (transmission) vilivozoea kuhudumia watu 10 litafanya hivyo kwa watu 1000 kwa ufanisi ule ule,

urgent measures must be considered sababu pia mahoteli makubwa na viwanda hawatasubiri tumalize 400kv transmission line 2026, kikubwa kuziba hiyo mianya ya ufisadi uzuri mauziano ya umeme yatakua kwenye system ambayo ni very computerized hakuna gap la human error na ni mwaka tu baada ya hapo transmission yetu ipo tayari we're good to go.
 
Umeme upo lakini sio kwa standard nzuri na matumizi ya umeme yanazidi kukua on daily basis kumbuka vijiji vingi vinaunganishwa na umeme kupitia REA kuna ongezeko kubwa la makazi na vifaa vya umeme majumbani mahitaji ya umeme ni makubwa kuliko pace ya kuongeza transmission capabilities sababu usitegemee tank (transformer) la Lita 100 za maji na pipes zake (transmission) vilivozoea kuhudumia watu 10 litafanya hivyo kwa watu 1000 kwa ufanisi ule ule,

urgent measures must be considered sababu pia mahoteli makubwa na viwanda hawatasubiri tumalize 400kv transmission line 2026, kikubwa kuziba hiyo mianya ya ufisadi uzuri mauziano ya umeme yatakua kwenye system ambayo ni very computerized hakuna gap la human error na ni mwaka tu baada ya hapo transmission yetu ipo tayari we're good to go.
Bado umeme hautatosha itatubidi tujenge jhhp nyingine kama mbili tuwe salama kwa walau miaka 20 ijayo
 
We ng'ombe Tanzania ni massive, unafikiri kuupgrade transmission lines zote across the country ni kitu cha a park walk? Nchi yenu tu ni nusu ya Tanzania na ni less than 40 percent ina central grid at least ya kv 120
Hizo numbers umetoa wapi Mr. Primary school dropout? The last time I checked bongoslum has one operational 400KV line, yani hata Dar is a slum is not connected to a 400KV line. 🤣 🤣 🤣 In Kenya all our cities are already connected to a 400KV line. Alafu the last time I checked Kenya ikona parastatal tofauti ya kufanya high voltage transmission, bongoslum kila kitu mumewachia TANESCO, no-wonder bado mko nyuma.
 
Back
Top Bottom