Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We ajab yako kutoelewa!! Mwalimu wako alipata shida sana wewe!! Soma hapo nimeandika nini!!! Ok huelewi, nimekupangia vitu vichache kuonesha jiji la Nairobi kujitosheleza, Barabara, hoteli, makaazi, ofisi, burudani nk. sio eti ni hizo tu, ila kutoa mifano tu!!
ndyo maana nakucheka nairobi yenu ni nyororo sana kwa jinsi mnavyoipaisha ni tofaut mlichotuzid ni fly over na sis ndyo tunazianza sasa tukikamilisha za kwetu midomo yenu itachacha
 
hahaha, hao wenu twawapa tu Kenya police, hamna haja ya KDF
mkizidiwa na alshabab muwe mna tuomba msaada tuwaonyeshe jinsi kazi inavyokwenda .....we have a big historical kwa hili jeshi tumekomboa sehemu nyingi laiti lingekuwa jeshi lenu mngekufa wote huo ndyo ukwel usibishe vitu vilivyowazi kwa kuijaza kenya 4 nothing
 
hahaha, hao wenu twawapa tu Kenya police, hamna haja ya KDF
Kdf inavamiwa kambi nzima na alshabab watoto wadogo wanawaua kama kuku alaf unasema unajeshi hhhahhhahah we acha stori za kanga alaf kuja kudanganya dunia wamekufa waneshi 50 tu wanaume wavamie kambi nzima waue 50 tu hahhaha munafanya masikhara nn
 
Dar es salaam ukitaka kushindana nayo ilete Nairobi,mombasa na kisumu hapo kidogo mutaongea sio hvihvi tu
 
600x600.jpg
 
angalia tarehe kabla kupost vitu hapa
Hujasoma wewe, hujui hujitambia, nilivyosema, unasumbuliwa na ulimbukeni. Usitafute kitabu, hapa tu jf tumewawekea elim ya kutosha bila malipo. Soma utajua kwamba hapa hivi unajiaibisha bure
 
Tafuta kina Kadoda, Anneal, Game over, nk hao washaerevuka watakufunza
Ukitaka mm na we tuendelee kuongea leta dar vs Nairobi,mombasa and kisumu ndio kidogo tunaeza kuongea vzr, wanifunze nn wakat kwnazia mwanzo mumeshindwa kutimiza vigezo
 
Back
Top Bottom