Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I have been saying here often, in 5 years time, Kenya especially Nairobi will be in a level that will shock the world… our politicians are the problem. But no sub Saharan Africa country can match Kenya in private entrepreneurship outside of South Africa.
🤣🤣🤣kwa vijumba hivi.? 👇🏾
IMG_4954.jpeg
IMG_4917.jpeg
ever heard of Fumba town or fumba uptown living.? Heb toa tongo tongo kwanza. 👇🏾
IMG_4923.jpeg
IMG_4925.jpeg
IMG_4918.jpeg
IMG_4929.jpeg
IMG_4920.jpeg
and this is the most luxurious building in the region so far.
IMG_4940.jpeg
IMG_4942.jpeg
IMG_4930.jpeg
IMG_4933.jpeg
IMG_4938.jpeg
heb tueleze ni estate ipi hapo ukinyani inaweza tia pua hapa fumba uptown living.? 🤣🤣🤣. Nimeeona huyu zuzu Teargas ati aki mention this house in comparison na hivi vidubwana 👇🏾🤣🤣🤣
IMG_4954.jpeg
hivi ni vijumba random tu hapa bongo you can find them anywhere.
 
Wewe ni kajinga,Kwa hiyo JK alivyoanza expansio ya Dar Port basi yeye ndio pekee alikuwa anafikiria kwamba inahitajika expansion na kwamba wanafanya expansion nyingine wao hawajafikiria si ndio? 😁😁

Hater utateseka sana na Bado hujasema 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DGdnFzeNcTD/?igsh=MXVhd2JxNDhzcXhnYw==

My Take
Bandari zitaendelea kupanuliwa nkujengwa Kwa mujibu wa mahitaji.

Upanuzi unaendelea Mtwara ,Dar,Tanga, Mwanza,Bukoba,Kigoma.

Ujenzi unaendelea MbambaBay,Kilwa na soon utaanza Bagamoyo Port.

So Wacha ujinga ulichanganyika na wivu 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGd_sHrNmXe/?igsh=MWJvYW1maDQzem5naQ==

dar port expansion ilianza mwaka gani?😂

ili ww uwe mwerevu niambie dar port expansion ilianza mwaka gani ??😁😁😁

mtwara port expansio ulianza mwaka gani naomba majibu mzee 😂😂😂😂

tanga port expansion ilianza mwaka gani?

sometimes kama kitu hujui uliza ujibiwe,hapa hatuongelei mambo ya wivu hapa tunaongelea facts na uhalisia

haya yote yanayoendelea ni umaliziaji tu hakuna jipya kabisa linaloendelea hvi sasa,

1)SGR maamuzi magumu

2)nyerere dam maamuzi magumu

3)dodoma kua jiji maamuzi magumu
kuhamisha serekali dodoma na kujenga mji wa kisasa wakiserekali (magufuli city)

4) dar port expansion maamuzi ya uhakika na tunaona matunda yake

5) mtwara port expansion maamuzi ya uhakika na tunaona matunda yake

6) tanga port expansion maamuzi ya uhakika na tunaona matunda yake

7) umaliziaji wa JNIA terminal 3

8) rada nne zilinunuliwa kutoka ufaransa na kufungua mwanza, dar, mbeya na kilimanjaro, na kuifanya tanzania kujitegemea 100% kwenyw anga lake hususani ndege za abiria na matunda yake yanaonekana mpaka kesho

9) muhimbili mloganzila hospital tunaona matunda yake

10) tanzanite bridge tunaona matunda
yake

11) magufuli bridge busisi kigongo maamuzi magumu

12) nyerere bridge ukamilishaji wa uhakika pamoja na kurasini interchange

13) mfugale flyover, flyover ya kwanza toka tumepata uhuru

14) kijazi interchange ndio interchange ya kwanza three level in east africa

15) kwenye barabara huko ndio usiseme kabisa sina cha kuongea kila kitu kiko wazi

16) ukamilishaji BRT 1, ujenzi wa BRT 2

17) ujenzi wa meli kubwa east africa na ya kisasa mv mwanza na ukarabati wa mv victoria na baadhi ya meli lake tanganyika, nyasa na victoria

18) ujenzi wa chelezo kubwa tanzania na wakisasa toka tumepata uhuru

19)ufufuaji wa air tanzania na kununua ndege za kutosha hili halina ubishi

20) new wami bridge

21) kilombero bridge

22) hifadhi ya taifa ya nyerere na sasa tunaona faida yake maamuzi magumu

23) minerals refineries kuanzishwa ambayo ni historia kwa nchi hii na kuzuia madini yasitoke bila kuchenjuliwa maamuzi magumu na kubadilisha sheria zote za madini, leo tunaona fadia yake 😂

24) kuboresha hospitali zote za kikanda ikiwemo muhimbili, bugando, KCMC, na ujenzi wa hospitali za rufaa ikiwemo mwalimu nyerere, mtwara, mbeya etc

25) kusitisha upuuzi uliotaka kufanyila bandari ya bagamoyo kwa maslahi mapana ya taifa hili ni maamuzi magumu sana

etc etc mambo ni mengi sana, hapa hatuongelei ushabiki tunaongelea uhalisia na hayo yote yamefanyika nchi ina deni la trillion 56 toka tanzania ipate uhuru hilo deni ila mpaka june 2024 deni lilikua 100 trillion

magufuli kaingia madarakani kakuta deni la trillion 35 mpaka anaondoka duniani nchi ina deni la trillion 56 baada yake kwa miaka mitatu nchi ina deni la trillion 100 tayari 😂😂😂😂😂


tuendelee kucheka na kusifiana 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
 
Wacha kufikiria kama bodaboda,
Ethiopia Ina idadi ya watu 135m, installed capacity MW6000, of which mw5,000 zinatoka kwenye Newly Grand Ethiopian Renaissance Dam, significantly not very different from what we produce in Tz ukilinganisha na idadi ya watu ,
Kumbuka hiyo consumption ya MW50K ya RSA is for only 60m population.

Hiyo ziada ya kusafirisha Hadi south Africa Vs Transmission cost wanatoa wapi?
Ethiopia can hardly sell mw 100-200 to poor & broke Kenya.
eti akili kama bodaboda inamaana mwenye akili kama bodaboda hua haaminiki😂
 
Back
Top Bottom