Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maneno kumi ya mkundurenda chukua moja au hata usichukue hata moja
Hujiulizia ubishi wa Kisumu Airport abiria over 800k.

Na hao abiria wote hamna hata mwenye smartphone ya kurekodi akitoka kwa ndege, feeling ya kuwa airport. Yaani hupati.picha.

Ila njoo uwanja wanaodai wanauzidi unakuta kabisa KLM, AIR FRANCE, EMIRATES, ETHIOPIA AIRWAYS, unaziona kabisa in all mainstream media.

Na unaambiwa hadi ndege zikifeli kutia huko Ukunyani KIA ndio their destination.

Bado kenge anatembea na Abiria 800k wanaotumia Vitochi
 
Hujiulizia ubishi wa Kisumu Airport abiria over 800k.

Na hao abiria wote hamna hata mwenye smartphone ya kurekodi akitoka kwa ndege, feeling ya kuwa airport. Yaani hupati.picha.

Ila njoo uwanja wanaodai wanauzidi unakuta kabisa KLM, AIR FRANCE, EMIRATES, ETHIOPIA AIRWAYS, unaziona kabisa in all mainstream media.

Na unaambiwa hadi ndege zikifeli kutia huko Ukunyani KIA ndio their destination.

Bado kenge anatembea na Abiria 800k wanaotumia Vitochi
typical of Wakunduni! Huwa ni pumbavu kuliko maelezo!

Labda watuonyeshe Qatar airways ikiwa Kisumu airstrip kama hivi 👇🏿


View: https://youtu.be/hr-Gh7nTYbQ?si=-ntlwfvP13yuy1G3
 
Mwenyekiti ichoboy01 kwa kupitia taarifa ya Geza Ulole kuhusu Bamburi Cement na Talanta.

Tunataka itoke amri ya Picha yoyote ya Talanta iwe na chata ya TASAF.

1000038753.jpg


Maana tunachangia 100% ujenzi wa Mende house.

USAID wameondoka 😂😂

Nawasilisha
 
Mwambie, Yaani mpaka leo sijaelewa MK254, mwaswast Jaywatt, Frank Wanjiru Kafrican, Tony254

Walipoteaje. Huyu Teargass alikua anaingia kweli kwa jamaa mwaswast.

Mpaka leo sielewi nini kilifanya abadilike now yupo na black and white. Plus JPM kwa avatar.

Kweli maisha fumbo.
Hao wote umetaja tulikuwa nao wote hii thread ikianza. I think uzee na upumbavu wa watanzania ndio ikawafanya waachane na hii thread. But guess what, i was here when ichoboy01 was real ichoboy01, achana na huyu wa siku hizi mwenye ameishiwa content. Active Tanzanians by that time were akina @Anneal, tuusan, kadoda na MOTOCHINI.

During that time watanzania walikuwa wajinga zaidi kuliko vile mko wajinga saa hii. There was a time i remember Anneal asking me kama Nairobi iko beaches and Islands😂😂.

All the Tanzanians during that time hawakujua CBD inamaanisha nini and ichoboy01 and Geza Ulole hawakujua kuhesabu floors za gorofa. Tanzanians have really learned a lot from Kenyans in this thread.

Sasa wewe umejoin thread juzi unataka kutuambia vitu i already know.
 
Karaodinga 😂😂

We kenge kwa kujipa umhimu usiohusika uko vizuri
Mbona huwa hampendi kuambiwa ukweli? Jamaa wako alikuwa ansema ati hadi wa leo bqdo wakenya wanatumia the word demu and i have just reminded him that dame is an english word and has nothing associating it with Vumbistan.
 
dar es salaam naona foleni karibu njia zote muhimu ni foleni tu 😂😂😂
watu wanaganda kwenye foleni over 2 good hours aisee🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

hvi mm nauliza swali kulikua na ulazima gani kwenda kufukua barabra zote za mji kwa kisingizio cha kujenga BRT, kwann tusingefata utaratibu wa kila phase atleast phase moja ikifika 70% ndio tunaanza nexe phase, sasa leo tunaenda kufukua barabara zote na ujenzi bado unasuasua kila kona, au ndio tunakimbilia miradi ovyo ovyo ili watu wapige pesa zao mapema kabia uchaguzi?

ilala to buguruni ina miaka 3 toka imefumuliwa na ujenzi umesiamama huoni kinachoendelea zaidi ya foleni kila siku

msimbazi center kwenda kigogo barabara imefumuliwa ina 3 yrs hakuna kitu kinachoendelea so far

etc,


View: https://www.instagram.com/reel/DGvvSJVsv92/?igsh=YzhqZndvOGplOGN3
 
Hao wote umetaja tulikuwa nao wote hii thread ikianza. I think uzee na upumbavu wa watanzania ndio ikawafanya waachane na hii thread. But guess what, i was here when ichoboy01 was real ichoboy01, achana na huyu wa siku hizi mwenye ameishiwa content. Active Tanzanians by that time were akina @Anneal, tuusan, kadoda na MOTOCHINI.

During that time watanzania walikuwa wajinga zaidi kuliko vile mko wajinga saa hii. There was a time i remember Anneal asking me kama Nairobi iko beaches and Islands😂😂.

All the Tanzanians during that time hawakujua CBD inamaanisha nini and ichoboy01 and Geza Ulole hawakujua kuhesabu floors za gorofa. Tanzanians have really learned a lot from Kenyans in this thread.

Sasa wewe umejoin thread juzi unataka kutuambia vitu i already know.
yani ww ulivokondoo umeona urudie jina la mwanaume mara tatu kwneye post yako

mbona unamuhaho au unawashwa ??😂
 
Mbona huwa hampendi kuambiwa ukweli? Jamaa wako alikuwa ansema ati hadi wa leo bqdo wakenya wanatumia the word demu and i have just reminded him that dame is an english word and has nothing associating it with Vumbistan.
Who was that Bongolala who made us laugh the other day?..I posted a Kenyan coffee maker I bought at Walmart and he responded with a sweat shop as a counterattack…It’s like a Kenyan responding to their SGR with Maasai curio market… Tanzanians are mostly clueless… at least most of them . Very few exceptions and far in between.
 
Miradi ya BRT inasua sua na kukera.. Yeah ni ishu ya financing na procurement nadhani..

WB akitoa hela anakuwa na masharti ya kuchagua mkandarasi anae mtaka.. Sasa wachina huwa wana lobby... Sio mambo ya 10% kwa watendaji wetu maana hela kwao inapita tu.

Kuna kipindi waziri wa maswala ya vibunda alilalamikia hiyo ishu kwamba wanatukopesha na bado hela wanachukua tena kupitia kampuni za nje. Hapa ndani zinabaki chenji chenji tuu. Ndio maana hata kuwabana inakuwa ngumu maana terms zao za payments zinakuwa hazipo wazi.
 
uongo mtupu hio picha alipiga akiwa US pumbavu nyinyi 😂😂😂😂😂 na sio kua amenunua no way alikua anapiga picha

au unafkiri unaeza kutudanganya sisi?
Sasa Wajackoya aende apige picha kando ya gari US ili iweje?
 
Back
Top Bottom