Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1000032262.jpg


Hao Kenge wa 30bn Ukarabati mkapa vipi


View: https://www.instagram.com/p/DHFmyHMISDO/?igsh=MTN4ejZvZnVueG5yMA==

Na TFF wapo wanatoa taarifa as if Haiwahusu.

Yaani ujinga ujinga kila sehemu waziri anawaza amchomekeje Mama, Mama.

Msemaji anawaza Siasa.

Mambo yanazidi.kujirudia enzi za uzembe ujinga, yaani hadi MKAPA ni ya kupewa warning kweli kisa nyasi za kumwagilia maji tu na umeweka BILLION.

Next time utasikia Nyasi za Tanzania hazioti vizuri tunaenda kununua nyasi China zinaota vizuri.

Tupo tunasikiliza Ripoti
 
View attachment 3267657

Hao Kenge wa 30bn Ukarabati mkapa vipi


View: https://www.instagram.com/p/DHFmyHMISDO/?igsh=MTN4ejZvZnVueG5yMA==

Na TFF wapo wanatoa taarifa as if Haiwahusu.

Yaani ujinga ujinga kila sehemu waziri anawaza amchomekeje Mama, Mama.

Msemaji anawaza Siasa.

Mambo yanazidi.kujirudia enzi za uzembe ujinga, yaani hadi MKAPA ni ya kupewa warning kweli kisa nyasi za kumwagilia maji tu na umeweka BILLION.

Next time utasikia Nyasi za Tanzania hazioti vizuri tunaenda kununua nyasi China zinaota vizuri.

Tupo tunasikiliza Ripoti

Ila Simba, nyasi zenyewe ndio hizo mlitaka kuingiza Mbuzi mkapa iwe kama Turkana kweli.
 
Mwendokasi ni jibu tosha la aina ya serikali tulionayo. They don't care.
Ni chawaa pekee ( mkazi wa Dar es Salaam anayetumia BRT anaweza sema mitano tena)

Wew panda mwendokasi halafu sema "ila hii serikali" Nina uhakika kila abiria atasema yake jinsi ule usafiri ulivyo mateso
Na kibaya zaidi serikali inajibu uongo, itaongeza mabasi mwaka wa pili sasa. Hakuna hata bus moja. Mwezi huu msigwa alisema wataleta mabasi ( wako kimya). Hawataki kuruhusu watu hata binafsi wawekeze.
Sijui ni wakubwa gan hao wa mwendokasi hawaguswi? Wala hawatetereki
Yani ni kero tuu, uchawa unatukostii sanaa
 
Back
Top Bottom