BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe katuma Zahra daaah!
 
Woyooo[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]amu ngoja nije pm
njoo ndugu yangu tumetoka mbali kweli kweli nakumbuka siku ile nawe hukuwa mbali leo tumeuoona mkono wa Bwana
 
Kumanina Humble African wewe mzee nakuelewa mno. Umeninyooshea hili linyang'au kazi kujisifia sifia tu mimi mchomi mnyomi. *****. Kwisha kabisa.
Mxiiuuuuuuuuu.
 
njoo ndugu yangu tumetoka mbali kweli kweli nakumbuka siku ile nawe hukuwa mbali leo tumeuoona mkono wa Bwana
Naja pm wangu sikutegemea kama injinia atatuvua nguo watu wa hesabu wenziwe!!daah!
 
Kwanzia leo inatakiwa mods wampe BAN engeneer maskini kila atakapoleta vurugu humu ndani

vurugu nyingi kumbe hamna kitu hata screenshot ya mpesa kashindwa kutuma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo humble and Zahra mchezo pesa sio vidukuu[emoji23] [emoji23]
 
Kwanzia leo inatakiwa mods wampe BAN engeneer maskini kila atakapoleta vurugu humu ndani

vurugu nyingi kumbe hamna kitu hata screenshot ya mpesa kashindwa kutuma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ametumia nguvu nyingi kujibomoa mwenyewe,yaani nadhani sasa inabidi awe mpole tu na sifa zake za kijinga aziache
 
Naona ilianza [emoji116][emoji116][emoji116]

1: HUMBLE Africa Vs The bold

2😑Humble Africa Vs CCNP Engineer

Next...![emoji117][emoji117][emoji117]
Hahahah mkuu. Usifananishe the bold na vitu vya kijinga.
 
Naona ilianza [emoji116][emoji116][emoji116]

1: HUMBLE Africa Vs The bold

2😑Humble Africa Vs CCNP Engineer

Next...![emoji117][emoji117][emoji117]

Alitaka kufanisha the bold na vitu vyakijinga.keshafeli huyo
 
Kwanzia leo inatakiwa mods wampe BAN engineer maskini kila atakapoleta vurugu humu ndani

vurugu nyingi kumbe hamna kitu hata screenshot ya mpesa kashindwa kutuma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
naunga mkono hoja,tena mie aache kabisa kunimention wala kunitag ,nataka wanitag Zahra na humble tu yeye atulie kabisa aibu aliyonsababishia ni kubwa sana
 
naunga mkono hoja,tena mie aache kabisa kunimention wala kunitag ,nataka wanitag Zahra na humble tu yeye atulie kabisa aibu aliyonsababishia ni kubwa sana
Shambulio la aibu daah![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji121] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121] [emoji121] [emoji121] hadharani hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…