BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Why should I?au ndio salamu za kiutuuzima,hakuna cha dada napenda post zako,nakufwatiliaga sana n.k n.k ni 50 kwanza tena kwwenye public rally!ndio wageni wanakaribishwa hivi,haha
Si nlisema sina ligi na mtu,nikiridhika hata 50 kumi natuma,ila kama ndio salamu,basi sawa
 
Why should I?au ndio salamu za kiutuuzima,hakuna cha dada napenda post zako,nakufwatiliaga sana n.k n.k ni 50 kwanza tena kwwenye public rally!ndio wageni wanakaribishwa hivi,haha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii inaitwa straight to the point no kona kona
 
Shikamoo kaka. Sema hela unayo bwana. Mi naomba laki tu kwenye hiyo 5M.
Wako mtiifu
MziguaWaKichaga
 
Huyu @CCNP lazima atafungua ID nyingine,jf sio sehemu ya mchezo mchezo,miaka ya nyuma alikuwepo member anajiita Mpiga msuli alisoma shule maalum Tabora boy alitukana sana watu kua yuko vizuri,siku akaingia anga za mtu zikaletwa mpaka picha za kwao kibaha,hawajawahi onekana humu toka miaka ile,jf naigopa kama ukimwi
 
injinia mwenye AAA aheshimiwe sana huyu anaakili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…