BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

ukionesha vyeti vyako mkuu itapendeza zaidi,maneno bila factual ni _ _ _ _ _ mtupu.
 
ukionesha vyeti vyako mkuu itapendeza zaidi,maneno bila factual ni _ _ _ _ _ mtupu.
 
Ccnp engineer amewakosea nn raia wenye hasira kal???
Kwan kujisifia na kutamba umu jf hata kama hauna kitu tunapangiana??

Mtu amekosa pesa bas ata mikwara pia akose, aaaanh sio poa
Alafu humble ulitoa andiko jinsi gan hawa wanaokua TO na maisha magumu, sasa apa naona mmeamua kuendeleza kuvuana nguo ukwen
Mmemuaribia sana mchiz, sjui ataanza vip uko pm za kina mzigua, demise, mama Sabrina, hajar
Yan anaenda kutongoza na upya, walai vile
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4]. Umeyajuaje lakini haya dada angu??
alikuwa anapiga chepuo kwangu namuambia mimi mkubwa kwako nimeolewa na watoto 3 haamini wewe unaweza kumkubali mwanaume ambae kaahidi 50k week nzima hatumi
 
ukionesha vyeti vyako mkuu itapendeza zaidi,maneno bila factual ni _ _ _ _ _ mtupu.
Anaoneshaje sasa hicho cheti wakati leo ana siku ya pili hajulikani alipo? Na hapa anapaogopa kama ukoma? Kakogeshwa mineno na humble na wapiga kura hadi balaa tupu. Titiititiiiiiiiiii
 
[QUOTE="Mzigua90, post: 27861807, member: 2483][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4]. Umeyajuaje lakini haya dada angu??[/QUOTE]
Ana hasira naye mpaka sasa alimtumia muamala usiojulikana!muamala hewa
 

Mkuu tulia inginia anakuja na nondo za ukweli

Niko nae apa msiwe na shaka anakuja kumaliza kazi

Hiii ndo team ushindi

Kelele kwake T.O wa tz
 
Anaoneshaje sasa hicho cheti wakati leo ana siku ya pili hajulikani alipo? Na hapa anapaogopa kama ukoma? Kakogeshwa mineno na humble na wapiga kura hadi balaa tupu. Titiititiiiiiiiiii
Kahamia Kenya Talk nimemuona leo kule anajiita Sigara kali[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Aseee huu Uzi Ndio uzi wangu bora zaidi kwa mwezi huu, ninacheka hadi najilamba. Eti anaanza kutongoza upya. Hakujua anaepambana nae. Amefanya makosa tu ya kawaida ya kiufundi.
 
alikuwa anapiga chepuo kwangu namuambia mimi mkubwa kwako nimeolewa na watoto 3 haamini wewe unaweza kumkubali mwanaume ambae kaahidi 50k week nzima hatumi
Haha
 
Hahahahaaa. Nimempenda sababu anaijua hela
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121] [emoji121] [emoji121] [emoji121] [emoji121] ila weweeee!!!daah!umenifanya nichekeee kama lofaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…