BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Huyu @CCNP lazima atafungua ID nyingine,jf sio sehemu ya mchezo mchezo,miaka ya nyuma alikuwepo member anajiita Mpiga msuli alisoma shule maalum Tabora boy alitukana sana watu kua yuko vizuri,siku akaingia anga za mtu zikaletwa mpaka picha za kwao kibaha,hawajawahi onekana humu toka miaka ile,jf naigopa kama ukimwi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Haki ya nani ningekuwa mie ndo nashambuliwa hivi ningehamia KENYA TALK tu maana haya mashambulizi sio ya nchi hii kabisa.Engineer Potelea huko huko mwayego.
 
Back
Top Bottom