Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Yaani [emoji23] [emoji23] [emoji23] shikamooo!!Sasa jeeee
Pesa inakuuza mkwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani [emoji23] [emoji23] [emoji23] shikamooo!!Sasa jeeee
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Huyu @CCNP lazima atafungua ID nyingine,jf sio sehemu ya mchezo mchezo,miaka ya nyuma alikuwepo member anajiita Mpiga msuli alisoma shule maalum Tabora boy alitukana sana watu kua yuko vizuri,siku akaingia anga za mtu zikaletwa mpaka picha za kwao kibaha,hawajawahi onekana humu toka miaka ile,jf naigopa kama ukimwi
injinia kapoteza miwani kuweni mwenye nayo karibu amuazime
Hamna noma kabisa hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani [emoji23] [emoji23] [emoji23] shikamooo!!
Pesa inakuuza mkwe
Haya fanya kunisambazia huo muamala basiUsiniroge shoga mimi na wewe jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko nae hapa anajipanga
Anasema mpinzani wake ajipange mana anakuja na nondo za hatari
Wapenzi na mashabiki kindakindaki wa injinia wakae mkao wakula
Sana aiseee. Nimejikuta nafall in love na Humble African.Ndugu yetu hela tunampenda sana
Ulikuwa wapi?jana hela zinanukia tu humu sikuoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo nimeona leo. Nimekosa mgap hivi hivi yani [emoji21][emoji21]Ulikuwa wapi?jana hela zinanukia tu humu sikuoni
TobaaaSana aiseee. Nimejikuta nafall in love na Humble African.
Unataka kuchafua hali ya hewa sasa eti?Sana aiseee. Nimejikuta nafall in love na Humble African.
Kwanini mkuu?Unataka kuchafua hali ya hewa sasa eti?
Achana na kitu kinaitwa hela mkweTobaaa
Pesa hana demu mzuri pia hanaKila jambo na wakati wake,wakati wa shule au imediately after school engineer angejisifu hivi tungemuona mjanja,sasa elimu yake imemsaidia nini kutatua changamoto alizonazo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4]. Umeyajuaje lakini haya dada angu??Pesa hana demu mzuri pia hana