Tupo wengiMi hua najisemea kua nakesha sana jf kwakua sina kazi. Na wenzangu ni hivyo hivyo?
Ana matusi sana huyu yani anakushambulia bila tatizoHaki ya nani ningekuwa mie ndo nashambuliwa hivi ningehamia KENYA TALK tu maana haya mashambulizi sio ya nchi hii kabisa.Engineer Potelea huko huko mwayego.
Hapa sasa hv kang'olewa meno yote hadi ulimi yaani akikutukana tu unamtag Humble African.Ana matusi sana huyu yani anakushambulia bila tatizo
[emoji1] [emoji1] hapo kapatikana ka kutana na dume la mbegu alizidi mno kumbe hana mbele wala nyumaHapa sasa hv kang'olewa meno yote hadi ulimi yaani akikutukana tu unamtag Humble African.
Hana lolote Pipiro tu yule.[emoji1] [emoji1] hapo kapatikana ka kutana na dume la mbegu alizidi mno kumbe hana mbele wala nyuma
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kanyooshwa sanaHana lolote Pipiro tu yule.
Nifikiria injinia alivyotamba mwanzoni hadi nikamuonea huruma humble nikajua atachakatwa mno.ghafla Kibao kikambadilikia injinia.hadi sasa hajulikani kakimbilia wapi.watu wakimya ni wa kuwaogopa mno.[emoji1] [emoji1] [emoji1] kanyooshwa sana
Hakuna TO hapo fix tu na kujua msingi mwisho wa siku aibu tupu.Kwani injinia alikuwa T.O mwaka gani
Wewe bwana promoter dirisha la kura linafungwa saa ngapi?Hakuna TO hapo fix tu na kujua msingi mwisho wa siku aibu tupu.
Engineer uchwara
Saa sita kamili ila bado kuna mapendekezo kuwa watu bado wanamsubiria Engineer Uchwara mpaka kesho eriWewe bwana promoter dirisha la kura linafungwa saa ngapi?
Mimi nadhani dirisha lisifungwe liachwe hadi pale injinia atakapopatikana, tukatoe taarifa pale FFU na kikosi cha mbwa atafutwe usiku na mchana aje aandikwe maelezo kwa tuhuma za kukimbia pambano huku akiwa kala hela za promoter, na kushindwa kutuma hata screenshot ya Mpesa na kumsababishia usumbufu mkubwa sana bwana humble. Au unaona je promoter?Saa sita kamili ila bado kuna mapendekezo kuwa watu bado wanamsubiria Engineer Uchwara mpaka kesho eri
Ushauri mzuri sana ndugu mpiga kura.Tutaufanyia kazi ipasavyo.Mimi nadhani dirisha lisifungwe liachwe hadi pale injinia atakapopatikana, tukatoe taarifa pale FFU na kikosi cha mbwa atafutwe usiku na mchana aje aandikwe maelezo kwa tuhuma za kukimbia pambano huku akiwa kala hela za promoter, na kushindwa kutuma hata screenshot ya Mpesa na kumsababishia usumbufu mkubwa sana bwana humble. Au unaona je promoter?
Jana ulivyonambia nije huku hata sikukuelewa nlikua na wenge za kutosha kichwani ....Leo sasa nimeelewa ulinambia niniHii mada angekuwepo maralia sugu [emoji23][emoji23]
Basi umepitwa sana aisee mchuano umempoteza Engineer wetu kajificha mahandakini sijui wapiJana ulivyonambia nije huku hata sikukuelewa nlikua na wenge za kutosha kichwani ....Leo sasa nimeelewa ulinambia nini
Ww promoto unaonekana upo bias. Mda wte unamshambulia injinia wetu. Muache bana na yeye ni t.o ukweli mtupu hakyanani vile ni t.o na alijamba kwenye gari watu woote wakatizamana, akiskia sauti za wadada ana dindisha na yeye ni mpenda mapugi sanaa sasa si mumuachee.. Muacheniiiiiiiiiiiiiiiiii...Saa sita kamili ila bado kuna mapendekezo kuwa watu bado wanamsubiria Engineer Uchwara mpaka kesho eri
Hahahahaha jamaa alikua na mbwembwe za kufa MTU aseeeBasi umepitwa sana aisee mchuano umempoteza Engineer wetu kajificha mahandakini sijui wapi