BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Saa sita kamili ila bado kuna mapendekezo kuwa watu bado wanamsubiria Engineer Uchwara mpaka kesho eri
Mimi nadhani dirisha lisifungwe liachwe hadi pale injinia atakapopatikana, tukatoe taarifa pale FFU na kikosi cha mbwa atafutwe usiku na mchana aje aandikwe maelezo kwa tuhuma za kukimbia pambano huku akiwa kala hela za promoter, na kushindwa kutuma hata screenshot ya Mpesa na kumsababishia usumbufu mkubwa sana bwana humble. Au unaona je promoter?
 
Ushauri mzuri sana ndugu mpiga kura.Tutaufanyia kazi ipasavyo.
 
Nimepata tabu sana kusoma coment zote ili nimuone injian akijibu mapigo lakini wapiii, binafsi namkubali sana kaka HA
 
Jana ulivyonambia nije huku hata sikukuelewa nlikua na wenge za kutosha kichwani ....Leo sasa nimeelewa ulinambia nini
Basi umepitwa sana aisee mchuano umempoteza Engineer wetu kajificha mahandakini sijui wapi
 
Saa sita kamili ila bado kuna mapendekezo kuwa watu bado wanamsubiria Engineer Uchwara mpaka kesho eri
Ww promoto unaonekana upo bias. Mda wte unamshambulia injinia wetu. Muache bana na yeye ni t.o ukweli mtupu hakyanani vile ni t.o na alijamba kwenye gari watu woote wakatizamana, akiskia sauti za wadada ana dindisha na yeye ni mpenda mapugi sanaa sasa si mumuachee.. Muacheniiiiiiiiiiiiiiiiii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…