BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Mi ni H kunani binafsi.. Engineer shule kaenda bwana hilo tumpongeze, ila hawa wanawake sio wakuwaamini huyu amu na rabeca walikua maswahiba wake lakini baada ya H kunani mwenzagu kuweka masalia halisi na nini sijui, hawa wadada akili zimewaruka kabisa daah pesa nyooko sana. Ila enginner na wewe unamambo yakisenge saaana nyooko wewe.
 
ukionesha vyeti vyako mkuu itapendeza zaidi,maneno bila factual ni _ _ _ _ _ mtupu.

vyeti kaonesha mara nyingi tu humu.... sasa hivi tunataka aoneshe salio kama mpinzani wake alivyofanya 😂😂
 
Tumezoea mara nyingi PM zinazofungwa ni za wanawake zaidi ila kama promota nilijaribu kumtafuta Engineer wetu wa mitambo ya kutengenezea Gongo katika majukwaa mbalimbali na Nyuzi mbalimbali bila mafanikio nikasema ngoja nikamchukue huko PM ili aje amalizie pambano lake maana siwezi kukubali anitie hasara kiasi hiki lo Huko nako nikagonga mwamba baada ya kukuta Bonge la kufuli mlangoni na kukuta tangazo tu kuwa mweyewe kahamia Kenya Talk.Nguvu zikaniishia.
 
Hahaaaaa mkuu nimecheka ile mbayaaa
 
"Ila enginner na wewe unamambo yakisenge saaana nyooko wewe."

Haka kakipande kamenichekesha mno... The Crushing we nyooko sana. Ah ah ah ah ah! Huyu injinia ana mambo ya kiboya sana amegombana na watu kibao sana humu.
 
Kuna vitu vya mpinzani wangu CCNP Engineer navisoma hapa hadi najikuta nalazimika kuhoji juu ya uzima wa akili yake na ufaulu wake na taaluma yake kwa ujumla.....tunajua elimu imeporomoka sana nchini ila sio kwa taaluma ya uinjinia.. Hapana! Ndio maana nasisitiza ili lisiwekwe kama tatizo la watu wa sayansi au fani ya engineer, hili ni tatizo la huyu jamaa Ndezi kuna uwezekano akawa psychopath.... Yuko Very naïve, mediocre and truly insane.

Though, nimecheka sana kwa content yake hiyo hapo chini yenye ujinga na upuuzi uliopita kiwango cha ustaarabu.... Na inatufundisha common sense ndio akili ya kwanza na muhimu kwa mwanadamu, ukikosa common sense huko mmagumu licha ya vyeti vyako vizuri na lukuki. Ingawaje sisi binadamu inabidi tuheshimiane tu na binafsi sichukii yeyote maana atakaenizika simjui.. Na wanaogombana ndio wanaishiaga kuwa marafiki wa kufa na kuzikana ingawaje labda nitangulie kufa mimi injinia anizike lakini akitangulia nikafika mazishini nitacheka sana huko makaburini maana jamaa yangu nilimuona pale TMT kwenye Forex jangid plaza ana kichwa kikubwa sana sasa jeneza lake hopefully litakuwa na muundo kama wa lollipop sababu ya kichwa kikubwa kisicho na common sense. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Injinia tafadhali hebu jitokeze..jionyeshe mbele za waaatu. Maana wanaogombana ndio wanaopatana na udugu ndio hazina yetu. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Si ajabu tukaja kuwa washkaji sana maana Mimi sina kinyongo wala ugomvi na wewe ndugu yangu. No need to worry you got a friend here!

Apparently, ngoja niwape hii bonus kidogo wapiga kura wangu waburudike, Hii hapa ingia ucheke https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1237188/

[emoji176]
 
Huku ni zaidi ya kupatwa kwa engineer,kumbe mambo ya ajabu hajakutana nayo barabarani!yapo within him,usshindane naye ni wa kumuombea tu....kunya ndani,kukojoa ndani,uoga,matusi,ushamba dah
 
Ndio ubaya au uzuri wa JF,apa ndio naona maana ya ule msemo 'ipo tu siku tu...'
 
Ndio ubaya au uzuri wa JF,apa ndio naona maana ya ule msemo 'ipo tu siku tu...'
Asituaibishe ex special school boys, mbona wapo wengi tu tuliosoma nao ilboru walienda harvard,Yale,MIT na wapo vizuri saaaaaana na wamepotelea hukohuko majuu
 
Na wameweka historia
Asituaibishe ex special school boys, mbona wapo wengi tu tuliosoma nao ilboru walienda harvard,Yale,MIT na wapo vizuri saaaaaana na wamepotelea hukohuko majuu
kila walipopita wameweka historia (mm ni muhenga wa Ilboru then Kibaha) some of us tunakosa focus kujidanganya mafanikio tayari tunayo kusoma special na kupiga one kali au kuwa
TO na kuforget ultimate goal to live well and to be exemplary to others,and above alll to make a positive difference to our society
 
My point is,lets take schooling as one of the paths to good life (ikitumika vizuri),na si kufaulu tu,shule imfanye mtu awe more civilized,and much more differentiated from an animal na kuwa na mbinu za kisomi kupambana na changamoto...engineer njoo onesha usomi wako maliza hili soo
 
Unaundugu na lemutuz
 
Mpeni muda engineer bado kijana mdogo,leo kapata fundisho huenda after sometime a/c zake na zenyewe zinaweza kusoma vizuri,ana hardly two years mtaani ukizingatia ni wa shinyanga auzoee mji kwanza (form advance 2010_2012) chuo 2012_2016 four years za engineering,now its jus 2018 ndio.maana kuna kipindi alitaka kukopa 5M asepe!itakuwa ndio alikuwa kaanza kazi
 
Refer post #654 ya humble african
 
Promota mbona kama una upande tayari[emoji1] [emoji1]
Mi nanogesha pambano mkuu na niliruhusu kutumika kwa data za humu jamvini za washindani kumchafua mwingine ili kuteka ridhaa ya wapiga kura hivyo usijali uko huru kujimwaga pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…