Wasafi Festival hivi itakuwa inajumuisha wasafi tu au na wasanii wengine?
Kama na wasanii wengine watahusishwa sitoshangaa kusikia malalamiko kuwa wasanii wanalipwa pesa ndogo na hapo ndipo utashangaa iweje aliyekuwa analalamika kunyonywa na Ruge naye ananyonya wengine kama ambavyo imetokea kwa Rich Mavoko.
Wasanii uwa sijui wanakuwa wamezibwa macho wakati wakuingia mikataba maana uwa nashangaa mkataba asaini yeye halafu aje kusema ananyonywa.
Mimi sijaongelea wasafi festival mkuu nimeongelea tukio la Rich Mavoko kujiondoa WCB kwa kusemekana kwamba ananyonywa, hapo fikiria label ndo kwanza ina wasanii hata 8 hawafiki lakini ishaanza mambo ya kudai wananyonywa. Je vipi ije kuwa wanaaanda event kubwa kama ya fiesta ambapo wasanii ni zaidi ya 25 unahisi haya maneno hayatoibuka?Kwani hadi wasafi festival wameshanyonywa?? Hhahahaha wabongo bana
Ww ni spy wa Luge,Upuuuzi.
hahaaKwa hiyo tamasha libaki moja tu weee kipapa?
Uko sahihi kijanaSema Wasafi wangebadilisha jina la tour yao, liko kibinafsi sana, wangekuja na jina tofauti na hilo. Ni mtizamo tu.
Upuuzi.Ww ni spy wa Luge,