Battle kati ya Fiesta na Wasafi Festival

Kwani hadi wasafi festival wameshanyonywa?? Hhahahaha wabongo bana
 
Kwani hadi wasafi festival wameshanyonywa?? Hhahahaha wabongo bana
Mimi sijaongelea wasafi festival mkuu nimeongelea tukio la Rich Mavoko kujiondoa WCB kwa kusemekana kwamba ananyonywa, hapo fikiria label ndo kwanza ina wasanii hata 8 hawafiki lakini ishaanza mambo ya kudai wananyonywa. Je vipi ije kuwa wanaaanda event kubwa kama ya fiesta ambapo wasanii ni zaidi ya 25 unahisi haya maneno hayatoibuka?
Wajua wasanii sijui uwa wanasaini mikataba wakiwa wanawaza jukwaa na shangwe halafu wakishamaliza perform ndipo wanaanza kutafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…